nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
- Thread starter
- #61
akili za wazanzibari zimetawaiwa na uislam na kudai haki zao , mwarabu gani anayeitaka nchi iliyovurugwa ????
tanganyika yote na zanzibari yake zote hazikaliki angalia wengine wamekimbilia uingereza na kuingia kwenye
biashara hizi 38 Degrees | Save Eddy Cosmas
Hapo Unanishangaza kidogo, Tanganyika ipi haikaliki? ni maeneo gani ya Tanganyika hayakaliki? Ni Watanganyika au Wazanzibari ndio Wamekimbilia Uingereza kama Wakimbizi?
Na Hueleweki Wao wengi Wanaupenda U-Middle Eastern hawajioni kama Waafrika wenye Tamaduni za kiafrika na Ukaribu na Tanganyika...
Hatuongelei Udini, hapa tunaongelea Fitna kati ya Nyerere za Upemba na Uunguja.