MBWAMBO NICHOLAUS JR
JF-Expert Member
- Oct 27, 2018
- 424
- 427
Habari wana JF...
Kuna nyeti kubwa nimepata kuwa kuna chama kipya cha siasa hapa nchini kinataka kuanzishwa..
Tayari kimeshapitia hatua zote
Kilichosalia kupata Ofisi ya msajili kutoa Usajili wa mda..
Sasa wadau tujadiliane hivi kuna lipi jambo hapa kwa kina mwenye kujua Undani
Kuna nyeti kubwa nimepata kuwa kuna chama kipya cha siasa hapa nchini kinataka kuanzishwa..
Tayari kimeshapitia hatua zote
Kilichosalia kupata Ofisi ya msajili kutoa Usajili wa mda..
Sasa wadau tujadiliane hivi kuna lipi jambo hapa kwa kina mwenye kujua Undani