Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,304
- 12,965
"Uchaguzi" umekwisha. Ahadi ni deni. Watu tumesha uza nyumba na kakata passport tayari kwa safari ya Marekani tuwahi sherehe ya kuapishwa rais mpya wa nchi hiyo. Mshindi wa ubunge jimboni kwetu atupe utaratibu wa safari tupo tayari kwa safari sasa. Wana Kawe tunao kwenda zetu Marekani tujuane hapa!
Je wewe jimboni kwako uliahidiwa nini umkumbushe mbunge wako aanze utekelezaji?
Je wewe jimboni kwako uliahidiwa nini umkumbushe mbunge wako aanze utekelezaji?