Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 5,688
- 8,927
Thread was deleted
Ukimuhamini mwana ccm utakua una mapungufu kichwaniLabda TRA wapunguze kodi kwenye hayo makampuni ya simu.
By the way yule Ndungulile anawachota akili zenu kwa jambo lisilowezekana kamwe.
Nilidhani kupungua kwa kilo za mwiliiiHabarini wana jamvi
Hivi jamani hii kitu imeishia wapi maana tuliambiwa tusubiri sijui tarehe 28 Feb mambo yatakuwa fresh, Ila hadi now naona holaa
Hivi wanasiasa wanatuonaje sisi
Au kuna ambaye kwa upande wake kashaanza kupata unafuu baada ya hio tar 28?
Daah
Hapa mtandaoni ndo hatutoki hata wapandishe being kiasi ganiMbona Muheshimiwa Supika nae anatamani hiyo gharama iongezwe mara dufu ili vijana wafanye kazi badala ya kushinda kutwa kwenye hiyo mitandao!!
Tumsikilize nani hapa! Waziri au Muheshimiwa Supika? 😇
Wanasiasa wanatuona Kama ma zombie fulani.Habarini wana jamvi
Hivi jamani hii kitu imeishia wapi maana tuliambiwa tusubiri sijui tarehe 28 Feb mambo yatakuwa fresh, Ila hadi now naona holaa
Hivi wanasiasa wanatuonaje sisi 🤔🤔
Au kuna ambaye kwa upande wake kashaanza kupata unafuu baada ya hio tar 28?
Daah 😌😌
Sio kupigwa tu. Tumeshapimwa koona kichinaTumeshapigwa!
Minaona ndiyo wamepandisha Mara dufu mfn line yangu ya Airtel ilikuwa 1000 siku 3, Gb 1, dk 110 asaivi napata dk izoizo ila MB 500 bl smsHabarini wana jamvi,
Hivi jamani hii kitu imeishia wapi maana tuliambiwa tusubiri sijui tarehe 28 Feb mambo yatakuwa fresh, Ila hadi now naona holaa
Hivi wanasiasa wanatuonaje sisi 🤔🤔
Au kuna ambaye kwa upande wake kashaanza kupata unafuu baada ya hio tar 28?
Daah 😌😌
Kwani wao wanaonewa huruma na tiaraei...?Wajaribu basi kutuonea huruma team popooooo
Kwani wao wanaonewa huruma na tiaraei...?
Umenigeukia Mimi tena! Wapi nimelalamikaKama unajua hilo kwanini mnawalalamikia na kuwatukana
Umenigeukia Mimi tena! Wapi nimelalamika
Sawa tu wacha nivae vazi hili..!Haoa gapa JF.Nawe si mwana jf kama mie