chase amante
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 5,553
- 2,073
Mnamo mwaka 2019, Kansela wa Ujerumani alifanya mazungumzo kwa njia ya simu na hayati Rais Magufuli na kumuahidi kujenga kiwanda kikubwa cha mbolea kuliko vyote Afrika hapa nchini.
Ningependa kujua, kama kimejengwa au kipo katika hatua ya ujenzi.
Kwa mwenye taarifa, naomba anijuze.
Ahsante
Ningependa kujua, kama kimejengwa au kipo katika hatua ya ujenzi.
Kwa mwenye taarifa, naomba anijuze.
Ahsante