Mh. Raisi J.M Kikwete ametoa ahadi kuwajengea nyumba wakazi waliokumbwa na mafuriko wilayani Kilosa ktk kampeni yake ya uchaguzi. Pia itakumbukwa kuwa Kiongozi wa Libya alitoa ahadi kama hiyo, ila CCM hawajaeleza kama ile ahadi ya Kiongozi wa Libya itakuwa siyo ahadi inayobebwa na CCM wakati huu wa kampeni.
Tujikumbushe: Januari 2010
Katika hatua nyingine Raisi Muammar Gaddafi wa Libya ametoa misaada mbalimbali kwa waathirika wa mafuriko Kilosa pamoja na kuahidi kujenga Nyumba 200 zenye thamani ya Shillingi Billioni 1.5 kwa ajili ya waathirika hao. Du jamaa kweli ana moyo wa huruma !
Kiongozi wa Libya Kanali Gadaffi (kulia) na Waziri Mkuu wa Italia (kushoto) Belsconi.
Last edited by a moderator: