Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,991
- 144,326
Naomba niseme tu kuwa,katika uchaguzi mkuu wa mwakani(2020),wapinzani wakija na ahadi ya kuchunguza elimu ya Makonda na tuhuma nyinginezo kama ile ya uvamizi na tutakawa na Tume Huru ya Uchaguzi,ninahaki wapinzani watapata kura nyingi sana bara na visiwani.
Wanachohitaji tu ni kuja na sera zingine nzuri zinalonge kulenda maendeleo ya watu ili kunogesha ushindi na hakika watapa kile wazungu wanachokiita "landslide victory".
Hata kwa wabunge watakaokumbusha tu madhaifu ya huyu bwana majukwaani,nao pia watawavutia wapiga kura wengi kwani huyu mtu ni tatizo la Taifa kwa sasa.
Habari ndio hiyo kuelekea 2020.
Wanachohitaji tu ni kuja na sera zingine nzuri zinalonge kulenda maendeleo ya watu ili kunogesha ushindi na hakika watapa kile wazungu wanachokiita "landslide victory".
Hata kwa wabunge watakaokumbusha tu madhaifu ya huyu bwana majukwaani,nao pia watawavutia wapiga kura wengi kwani huyu mtu ni tatizo la Taifa kwa sasa.
Habari ndio hiyo kuelekea 2020.