Ahadi ni deni; Serikali inashindwa kupata kodi halali kwenye mauzo na inaamua kuchukua njia rahisi ya kuwakamua walipa kodi

Wacha1

JF-Expert Member
Dec 21, 2009
16,681
8,233
Rais SSH ulisema suala la tozo linafanyiwa kazi na muda si mrefu litatolewa uamuzi. Kitu cha kushangaza uamuzi baada ya kufanyika wewe umejificha Ikulu anamtuma waziri wa fedha kuja kulitolea ufafanuzi. Rais SSH hii ni dharau ambayo sisi Watanzania hatukutegemea kutoka kwako baada ya kutoa ahadi ya kulifanyia kazi.

Isitoshe uamuzi uliofanywa wa kuendelea kuwakamua walalahoi haukuzingatia mambo muhimu ambayo kisheria ni uonevu tu.

Mfanyakazi wa kawaida anapotuma pesa kwa rafiki ndugu au jamaa yoyote yule hiyo pesa inakuwa tayari imelipiwa income tax, sasa inakuwaje tena Serikali yako inatoza kodi nyingine tena ambayo kwanza Serikali haijaifanyia kazi?

Serikali inashindwa kupata kodi halali kwenye mauzo na inaamua kuchukua njia rahisi ya kuwakamua walipa kodi. Hii ni aibu!

Rais umeonyesha upendeleo katika utendaji wako hasa pale ulipotoa zawadi ya gari kwa Rais mstaafu kwamba anahitaji gari la chini zaidi kwa sababu ya kushuka, lakini unasahau kwamba Rais huyo ana pata pension ya kutosha vile vile ana ndugu ambao wana uwezo wa kumnunulia gari la chini.

Vipi sisi wa kiwango cha chini ambao tunalipa kodi mara mbili? Je, huu ndio ubunifu wa Serikali yako kupata kodi haramu?
 
Rais SSH ulisema suala la tozo linafanyiwa kazi na muda si mrefu litatolewa uamuzi. Kitu cha kushangaza uamuzi baada ya kufanyika wewe umejificha Ikulu anamtuma waziri wa fedha kuja kulitolea ufafanuzi. Rais SSH hii ni dharau ambayo sisi Watanzania hatukutegemea kutoka kwako baada ya kutoa ahadi ya kulifanyia kazi.

Isitoshe uamuzi uliofanywa wa kuendelea kuwakamua walalahoi haukuzingatia mambo muhimu ambayo kisheria ni uonevu tu.

Mfanyakazi wa kawaida anapotuma pesa kwa rafiki ndugu au jamaa yoyote yule hiyo pesa inakuwa tayari imelipiwa income tax, sasa inakuwaje tena Serikali yako inatoza kodi nyingine tena ambayo kwanza Serikali haijaifanyia kazi?

Serikali inashindwa kupata kodi halali kwenye mauzo na inaamua kuchukua njia rahisi ya kuwakamua walipa kodi. Hii ni aibu!

Rais umeonyesha upendeleo katika utendaji wako hasa pale ulipotoa zawadi ya gari kwa Rais mstaafu kwamba anahitaji gari la chini zaidi kwa sababu ya kushuka, lakini unasahau kwamba Rais huyo ana pata pension ya kutosha vile vile ana ndugu ambao wana uwezo wa kumnunulia gari la chini.

Vipi sisi wa kiwango cha chini ambao tunalipa kodi mara mbili? Je, huu ndio ubunifu wa Serikali yako kupata kodi haramu?
Wamefanya hivi ili kila mtu aweze kuchangia kwenye uchumi wa nchi, waziri wa fedha ndiye anayetengeneza kanuni hivyo alimtuma ili aeleze vizuri hatua iliyofikiwa, tatu mwinyi gari alilopewa yalikuwepo 20 Magufuli alipewa zawadi na mfalme wa morocco,

Mradi wa SGR yote tumekopa na haijakamilika na inahitaji ilipwe na tumekopa benki za kibiashara hivyo deni lina riba
Screenshot_20210823-131124_Samsung Internet.jpg
 
Rais SSH ulisema suala la tozo linafanyiwa kazi na muda si mrefu litatolewa uamuzi. Kitu cha kushangaza uamuzi baada ya kufanyika wewe umejificha Ikulu anamtuma waziri wa fedha kuja kulitolea ufafanuzi. Rais SSH hii ni dharau ambayo sisi Watanzania hatukutegemea kutoka kwako baada ya kutoa ahadi ya kulifanyia kazi.

Isitoshe uamuzi uliofanywa wa kuendelea kuwakamua walalahoi haukuzingatia mambo muhimu ambayo kisheria ni uonevu tu.

Mfanyakazi wa kawaida anapotuma pesa kwa rafiki ndugu au jamaa yoyote yule hiyo pesa inakuwa tayari imelipiwa income tax, sasa inakuwaje tena Serikali yako inatoza kodi nyingine tena ambayo kwanza Serikali haijaifanyia kazi?

Serikali inashindwa kupata kodi halali kwenye mauzo na inaamua kuchukua njia rahisi ya kuwakamua walipa kodi. Hii ni aibu!

Rais umeonyesha upendeleo katika utendaji wako hasa pale ulipotoa zawadi ya gari kwa Rais mstaafu kwamba anahitaji gari la chini zaidi kwa sababu ya kushuka, lakini unasahau kwamba Rais huyo ana pata pension ya kutosha vile vile ana ndugu ambao wana uwezo wa kumnunulia gari la chini.

Vipi sisi wa kiwango cha chini ambao tunalipa kodi mara mbili? Je, huu ndio ubunifu wa Serikali yako kupata kodi haramu?
Mwananchi hutimizi wajibu wako wa kudai risiti,muuzaji hutoi risiti afu unaililia serikali.

Niko pamoja na Serikali ishikilie hapo hapo kwenye tozo kama mbadala wa watu wasiotimiza wajibu wao wa kulipa kodi.

Kwanza mnajua kutodai risiti adhabu yake ni 1,000,000 ? Na kutotoa risiti adhabu ni 3,000,000 ? Polisi waki enforce kila bidhaa kwa lisiti mtaweza vumilia vilio nyie?
 
Wamefanya hivi ili kila mtu aweze kuchangia kwenye uchumi wa nchi, waziri wa fedha ndiye anayetengeneza kanuni hivyo alimtuma ili aeleze vizuri hatua iliyofikiwa, tatu mwinyi gari alilopewa yalikuwepo 20 Magufuli alipewa zawadi na mfalme wa morocco,

Mradi wa SGR yote tumekopa na haijakamilika na inahitaji ilipwe na tumekopa benki za kibiashara hivyo deni lina ribaView attachment 1909918
MFALME wa Morocco anatoa zawadi ya mabenzi kumi kwa Rais wa TZ yeye binafsi kwa madhumuni gani? Ni ndugu hawa?
Sgr si tunajenga kwa fedha yetu?
Kama sio, ya nini? Mbona reli ya mita gauge ipo, mbili zote za nini?

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
Source ya Mambo yote haya yameanzia kwa mwendazake-Mwendazake angeendelea kutawala for 5 years lazima uchumi unge-collapse,kupikwa kwa data kulikuwa kwingi mnoo.Example-Haiingii akilini tu exchange rate ya 1USD=2340TZS for some years,Lazima mtu mwenye akili ata smell trouble
 
Wamefanya hivi ili kila mtu aweze kuchangia kwenye uchumi wa nchi, waziri wa fedha ndiye anayetengeneza kanuni hivyo alimtuma ili aeleze vizuri hatua iliyofikiwa, tatu mwinyi gari alilopewa yalikuwepo 20 Magufuli alipewa zawadi na mfalme wa morocco,

Mradi wa SGR yote tumekopa na haijakamilika na inahitaji ilipwe na tumekopa benki za kibiashara hivyo deni lina ribaView attachment 1909918
Ungejua matumizi ya serikali fedha zinaenda kugharamia maisha ya viongozi zaidi ya maendeleo ya wananchi ie 80% ya fedha za bajeti zinaenda kwenye matumizi ya kawaida na 20% ndio fedha za maendeleo, kwamba wamepanga kutumia 33t kwa mwaka huu wa fedha ambapo 20t ni za matumizi ya kawaida na 13t ndio za maendeleo. Kwaiyo watu wanapolalamika kuhusu hizo tozo na Kodi ni kwa sababu hakuna matumizi mazuri ya fedha za Kodi na hakuna anayewajibika maana tungeweza hata kutumia 50% ya fedha za bajeti kwenye maendeleo tulikua hakuna sababu ya kuwakamua wananchi kwaiyo mnapotetea ujinga muwe mnafikiria au labda mnafaidika na mfumo uliopo
 
Mwananchi hutimizi wajibu wako wa kudai risiti,muuzaji hutoi risiti afu unaililia serikali.

Niko pamoja na Serikali ishikilie hapo hapo kwenye tozo kama mbadala wa watu wasiotimiza wajibu wao wa kulipa kodi.

Kwanza mnajua kutodai risiti adhabu yake ni 1,000,000 ? Na kutotoa risiti adhabu ni 3,000,000 ? Polisi waki enforce kila bidhaa kwa lisiti mtaweza vumilia vilio nyie?
Kuchukua risiti ni hiari, Hata nchi zilizoendelea hakuna swala la kuwalazimisha watu wachukue risiti. SSH amewalegezea wafanya biashara kwa sababu yeye ni mama kulegeza ni jadi yake. Tanzania tutaendelea kukomaa na hao wezi wa kisasa hadi kieleweke. Kupata maendeleo ni lazima wale ambao wanafaidika zaidi walipe share yao. Muda wa kuwabembeleza na kufikiria kuwakamua wale wasionacho umepitwa na wakati muda utaongea.

RIP JPM
 
Wamefanya hivi ili kila mtu aweze kuchangia kwenye uchumi wa nchi, waziri wa fedha ndiye anayetengeneza kanuni hivyo alimtuma ili aeleze vizuri hatua iliyofikiwa, tatu mwinyi gari alilopewa yalikuwepo 20 Magufuli alipewa zawadi na mfalme wa morocco,

Mradi wa SGR yote tumekopa na haijakamilika na inahitaji ilipwe na tumekopa benki za kibiashara hivyo deni lina ribaView attachment 1909918
Inakuwaje Serikali nachukua kodi mara mbili kwenye tozo? Huo ni uonezi kwa sababu hiyo tozo unachukua kwa watu wengi wanyonge ambao in the first place wameshalipa kodi. 2025 inasubiriwa kwa hamu huyo waziri wa mipasho na genge lake tutawaondoa kwa kura mark my words!
 
Kuchukua risiti ni hiari, Hata nchi zilizoendelea hakuna swala la kuwalazimisha watu wachukue risiti. SSH amewalegezea wafanya biashara kwa sababu yeye ni mama kulegeza ni jadi yake. Tanzania tutaendelea kukomaa na hao wezi wa kisasa hadi kieleweke. Kupata maendeleo ni lazima wale ambao wanafaidika zaidi walipe share yao. Muda wa kuwabembeleza na kufikiria kuwakamua wale wasionacho umepitwa na wakati muda utaongea.

RIP JPM
Acha upumbavu kwa hiyo kutoa risiti na kudai risiti ni hiari? Kama ni hiari Rais analaumiwa kwa lipi?

Ndio maana nasisitiza serikali iache miamala hivi hivi .Na kwa taarifa yako Tzn usipotoa na kudai risiti ni kosa kisheria ukiona haifai nenda kaishi huko kwenye nchi zilizoendelea
 
Wamefanya hivi ili kila mtu aweze kuchangia kwenye uchumi wa nchi, waziri wa fedha ndiye anayetengeneza kanuni hivyo alimtuma ili aeleze vizuri hatua iliyofikiwa, tatu mwinyi gari alilopewa yalikuwepo 20 Magufuli alipewa zawadi na mfalme wa morocco,

Mradi wa SGR yote tumekopa na haijakamilika na inahitaji ilipwe na tumekopa benki za kibiashara hivyo deni lina ribaView attachment 1909918
Watu hawakatai kulipa kodi au kukatwa hizo tozo! Tangu enzi za JK tumelipa tozo kwa ajili ya umeme vijijini kwa kuongeza shilingi kadhaa kwenye mafuta, nk!

Ishu iliyopo hapa ni ukubwa wa hizo tozo, na ambao hauendeni na uhalisia!!! Hapa ndipo wananchi tunapo lalamikia! ZIPUNGUZWE!!
 
Acha upumbavu kwa hiyo kutoa risiti na kudai risiti ni hiari? Kama ni hiari Rais analaumiwa kwa lipi?

Ndio maana nasisitiza serikali iache miamala hivi hivi .Na kwa taarifa yako Tzn usipotoa na kudai risiti ni kosa kisheria ukiona haifai nenda kaishi huko kwenye nchi zilizoendelea
People are going digital, yet we've idiots who think we are in Mangungo empire. Shame!
 
Back
Top Bottom