Kweli...unamuda wakusikiliza vipindi hivyo..utakuwa unakula kwa Mama yako weweHuyo ndo B12 aka B Dozen aka B kumi na bee!
umejuaje hivyo ni vipindi kama husikilizi?? mimi nilijua ni aina ya sahuni au VitaminKweli...unamuda wakusikiliza vipindi hivyo..utakuwa unakula kwa Mama yako wewe
Huyo Ni mtangazaji bwana...aniatwa Hamisi..aka B12 .. B dozen...B twangala twizi..umejuaje hivyo ni vipindi kama husikilizi?? mimi nilijua ni aina ya sahuni au Vitamin
Huyo Ni mtangazaji bwana...aniatwa Hamisi..aka B12 .. B dozen...B twangala twizi..
Zamani nlikua namsikiliza huko double XL ...CloudsFm...siku Hizi kahamia EFM anakipi ndi kinaitwa Empire na Jonijo..
Sasa ndo uone Nani anasikiliza hivyo vipindi