Ahadi fake[emoji173]

twiny

Senior Member
Dec 8, 2018
160
84
Yuko wapi mzenzi wako uliye mpenda mlikuwa mkiahidia hmto achana mpk kufa,mnapanga kuzaa watoto mapacha mnaandaa na mjina ya hao watoto mnapnga mpk mtakavo vaa siku ya harusi yenu tukumbushane tu me wangu alienda na maji..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je ni kwanini alienda zake na kuachana na wewe?

Je kuna kitu cha kujifunza kutokana na mahusiano uliyokuwa nayo?

Je unadhani wapi ulikosea??
Kila mahusiano yana changamoto zake na maudhi yake so katika kukabiliana na hyo tuakajikuta hkuna mtu anaweza kuvumilia hatua ikachukuliwa kila mtu apite hv ivo yan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kudanganya kupo i hope ata wewe usha danganywa tena mara kibao tu but kama ananidanganya na mimi namdanganya so tunadanganyana sote coz mimi uwa nakuwa na mtu kutokana na yeye anavo nichukulia ndo na mimi nachukulia ivo ivo so kama yeye nanichukulia mimi kama mshauri katka kutengeneza maisha yake na mimi nachukulia ivo ivo tena mimi ni zaidi coz anatumia mpka gharama kama anaichukulia me wa starehe me ivo ivo naisi umenilewa
Kwahiyo sasa hivi unavyoliwa unapewa ahadi gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kudanganya kupo i hope ata wewe usha danganywa tena mara kibao tu but kama ananidanganya na mimi namdanganya so tunadanganyana sote coz mimi uwa nakuwa na mtu kutokana na yeye anavo nichukulia ndo na mimi nachukulia ivo ivo so kama yeye nanichukulia mimi kama mshauri katka kutengeneza maisha yake na mimi nachukulia ivo ivo tena mimi ni zaidi coz anatumia mpka gharama kama anaichukulia me wa starehe me ivo ivo naisi umenilewa

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwahiyo ww kuchukuliwa kama mtu wa starehe kwako sio tatizo?
 
Sio tabu ndio kitu unashindwa kujua wadada tuna tabia moja endapo ukija kwangu bila malengo na mimi ukanichukulia me mtu wa starehe yaan hyo ni nafas kubwa sana kuitumia ili kutimiza malengo coz hmn wanaume wanao jisahau kama wapnda starehe ujisahau sana ndo maan unakuta mtu ana mke lakin bdo ana mwanamke wa nje sasa mwanamke wa nje akijua wew ni mume wa mtu unazani atakuacha salama anaakikisha anakukwangua mpk hela ya kuacha matumizi nyumbn unakosa so ukiona mdada anatembea na mume wa mtu jua yuko kwa malngo yake binafs tia hakirini ilo lisikuponyoke enda nikawa nimekutibu
Kwahiyo ww kuchukuliwa kama mtu wa starehe kwako sio tatizo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio tabu ndio kitu unashindwa kujua wadada tuna tabia moja endapo ukija kwangu bila malengo na mimi ukanichukulia me mtu wa starehe yaan hyo ni nafas kubwa sana kuitumia ili kutimiza malengo coz hmn wanaume wanao jisahau kama wapnda starehe ujisahau sana ndo maan unakuta mtu ana mke lakin bdo ana mwanamke wa nje sasa mwanamke wa nje akijua wew ni mume wa mtu unazani atakuacha salama anaakikisha anakukwangua mpk hela ya kuacha matumizi nyumbn unakosa so ukiona mdada anatembea na mume wa mtu jua yuko kwa malngo yake binafs tia hakirini ilo lisikuponyoke enda nikawa nimekutibu

Sent using Jamii Forums mobile app

Umetembea na waume za watu wangapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom