kirikou1
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 4,802
- 6,468
Fact. Wanawahi kusahauNilidhani MAJI au huduma za afya au shule au vyuo kumbe TV,si bunge lilizuiwa eti watu watakuwa hawafanyi Kazi sasa hapo sokoni watafanya SAA ngapi biashara huku wanaangalia TV,Msigwa asingeruhusiwa kuweka TV hapo