Ah! Tz ina madaktari wa ziada wanaogoma mjue hivyo

Danniair

JF-Expert Member
Feb 18, 2011
360
66
Nasema hivyo kwa sababu Mbeya- hospital imefukuza madaktari zaidi ya 70 leo, papo hapo imeomba toka
manispaa madaktari 6! Hii inanipa picha kuwa madaktari Tz inao wengi kwa hiyo wanaogoma
huenda wasisikilizwe. Pia kwa kuwa tuna madokta wengi (ziada) huenda ndo maana hata mafao yao
hayatoshelezi.

Kwa kuwa tunao madaktari wengi mno, naishauri serikali ipunguze in-take ya madaktari na pesa
itokanayo iende kwenye shughuli zingine. Pia srk isilie lie tena kuwa Tz inaupungufu wa ma-Dkt.

Mwisho, iwapo watafanikiwa kusikilizwa basi hawa ma- dkt wa ziada wasipewe hizo nyongeza.
 
wanaaita madaktari wastaafu ambao sina uhakika kama walilipwa mafao yao ya uzeeni!
 
we subiri tu hao si walikuwa wamekaa tu ngoja wakifika hospita wataungana tu na wenzao waliogoma maana wanadhan wao watalipwa zaidi
 
Nasema hivyo kwa sababu Mbeya- hospital imefukuza madaktari zaidi ya 70 leo, papo hapo imeomba toka
manispaa madaktari 6! Hii inanipa picha kuwa madaktari Tz inao wengi kwa hiyo wanaogoma
huenda wasisikilizwe. Pia kwa kuwa tuna madokta wengi (ziada) huenda ndo maana hata mafao yao
hayatoshelezi.

Kwa kuwa tunao madaktari wengi mno, naishauri serikali ipunguze in-take ya madaktari na pesa
itokanayo iende kwenye shughuli zingine
. Pia srk isilie lie tena kuwa Tz inaupungufu wa ma-Dkt.

Mwisho, iwapo watafanikiwa kusikilizwa basi hawa ma- dkt wa ziada wasipewe hizo nyongeza.

samahan mtoa mada,humo kwenye rangi nna mashaka sana,kwa sasa serikal ina upungufu wa madaktar sijui unalijua???unajua kuwa kwa sasa kuna baadh ya maeneo hayana madaktar au madaktar bingwa????mfano ni korogwe vijijin ambako jana nimemsikia mbunge wake analalamika(maji marefu),sasa wewe fikiria wamefukuzwa 70 halafu wameajiri 6,,,,huo uwiano uko wapi???,hao madaktar wa ziada wako wapi,,,,inaonesha huna data ila una-guess
 
samahan mtoa mada,humo kwenye rangi nna mashaka sana,kwa sasa serikal ina upungufu wa madaktar sijui unalijua???unajua kuwa kwa sasa kuna baadh ya maeneo hayana madaktar au madaktar bingwa????mfano ni korogwe vijijin ambako jana nimemsikia mbunge wake analalamika(maji marefu),sasa wewe fikiria wamefukuzwa 70 halafu wameajiri 6,,,,huo uwiano uko wapi???,hao madaktar wa ziada wako wapi,,,,inaonesha huna data ila una-guess

Mkuu sina data wala si dhanii, Ila naishangaa srk. Kwani nchi hii si tu ina upungufu wa madkt
bali hata vituo vya afya. Sasa srk inapochezea pesa yetu kwa kuwapa elimu hawa wataalamu na kisha
kuwatumikisha ktk mazinira yasiyolingana na kiwango chao cha kutoa huduma si ndo nagwaya.
Bila aibu kule Mby wamefukuza makdt 70 na kuweka mbadala 6! huoni kuwa hao 6 ni madkt wa fani zote?
Kama ndivyo ipunguze in-take, 6 kila mkoa wanatosha. Wawili usiku, wawili asbh. wawili mchana. Mawodini
OPD na thieta, imejensi. BRAVO mby!.
 
wanaaita madaktari wastaafu ambao sina uhakika kama walilipwa mafao yao ya uzeeni!

Ni hivi kila walipodai halali zao walinyanyaswa hivi hivi, Pia mafao wanayopewa kidunchu
si tumemshuhudia Prof Shaba. Hii ni vita ya wanasiasa (wenye PhD za kihiyo) dhidi ya wasomi
waliopiga umande.

Fuatilia kitabu cha Mafisadi wa elimu, ujionee elinu ya Lukuvi.Makongoro Mahanga na wengine wengi.
 
Naishangaa serikali kwa kukosa PLAN-C, hii ni sawa na kuingia vitani na manati, ukizidiwa unarudi ndani unachukua upinde, hali ikiwa baya zaidi unarudi tena ndani unachukuwa silaha yako ya mwisho- 'Gobori' lenye risasi moja tu. Hapo utatakiwa kumwomba mungu awe upande wako ili ile risasi impate adui yako, maana ukimkosa itakuwa balaa.

Serikali walianza na mkwara(manati) ikashindikana. Wakatumia wajeshi na wastaafu(upinde/mkuki) ikashindikana. Ikabakiwa na gobori la risasi moja(mahakama), bahati mbaya risasi ikamkosa adui. Je, serikali ina plan-c hasa katika kipindi hiki ambacho adui anatumia mbinu kali zaidi(mgomo wa madaktari bingwa)?
 
Naishangaa serikali kwa kukosa PLAN-C, hii ni sawa na kuingia vitani na manati, ukizidiwa unarudi ndani unachukua upinde, hali ikiwa baya zaidi unarudi tena ndani unachukuwa silaha yako ya mwisho- 'Gobori' lenye risasi moja tu. Hapo utatakiwa kumwomba mungu awe upande wako ili ile risasi impate adui yako, maana ukimkosa itakuwa balaa.

Serikali walianza na mkwara(manati) ikashindikana. Wakatumia wajeshi na wastaafu(upinde/mkuki) ikashindikana. Ikabakiwa na gobori la risasi moja(mahakama), bahati mbaya risasi ikamkosa adui. Je, serikali ina plan-c hasa katika kipindi hiki ambacho adui anatumia mbinu kali zaidi(mgomo wa madaktari bingwa)?

plan zao zinazid kuwashush hadhi. Haiwezekani ufukuze MO 72 uajiri AMO 6, halafu unawahadaa wananch eti srk imejipanga. Come on, lets be serious.
 
Nasema hivyo kwa sababu Mbeya- hospital imefukuza madaktari zaidi ya 70 leo, papo hapo imeomba toka
manispaa madaktari 6! Hii inanipa picha kuwa madaktari Tz inao wengi kwa hiyo wanaogoma
huenda wasisikilizwe. Pia kwa kuwa tuna madokta wengi (ziada) huenda ndo maana hata mafao yao
hayatoshelezi.

Kwa kuwa tunao madaktari wengi mno, naishauri serikali ipunguze in-take ya madaktari na pesa
itokanayo iende kwenye shughuli zingine. Pia srk isilie lie tena kuwa Tz inaupungufu wa ma-Dkt.

Mwisho, iwapo watafanikiwa kusikilizwa basi hawa ma- dkt wa ziada wasipewe hizo nyongeza.

Mtoa hoja kidogo hauwaz kama great thinker hivi huko jiji waliko wachukua ma DR hamna wagonjwa?na je watatibiwa na nani katika maeneo walioacha wazi,pia hv madaktari 70 kwa 6 hapo labour turnover imekaaje ukijua labour turnover ya dr mmoja pale rufaa utajua vp wamechemka kwa tunaopajua rufaa ni kutoa bunduki kuweka rungu
Madaktari wengi wenye nguvu wameajiliwa serikali binafsi ambazo ndio kimbilio la wengi sasa mabosi zao wako tayari waachie hospitali zao zifungwe na ma dr wazee wengi tayar wamechoka I dnt think kama watakuwa capable sana kukabiliana na changamoto ya wingi wa wagonjwa
 
A doctor is a medical practitioner, ie. he/she practices medicine. The primary role of a medical doctor is to maintain or restore human health. This is done through studying any disease or injury, and applying an appropriate diagnosis and treatment.

Doctor comes from the latin, docere, which means, "teacher."
Classically, a doctor was a learned person who would teach those with less experience. Over time, doctor became synonymous with physician. This is not accurate, however, as any person with a doctorate degree (Ph.D, etc) is technically a doctor, although now, in educational venues, those who hold a Ph.D are typically called professor in a group or doctor individually. In the clinical or hospital venue, the prefix "doctor" is usually reserved for those with medical degrees, MDs or DOs.

NADHANI UMENIELEWA.
 
plan zao zinazid kuwashush hadhi. Haiwezekani ufukuze MO 72 uajiri AMO 6, halafu unawahadaa wananch eti srk imejipanga. Come on, lets be serious.

hii sred imenifumbua macho, natamani wale Pro-serikali(kwenye hili saga) waangalie vizuri ili wapaze sauti kuishauri serikali.
 
plan zao zinazid kuwashush hadhi. Haiwezekani ufukuze MO 72 uajiri AMO 6, halafu unawahadaa wananch eti srk imejipanga. Come on, lets be serious.

Mkuu wana-siasa hawajui DR ni nani, hawatofautishi kuanzia Medical Attendant wa kiume, Clinica Offier, Asst Medical Offer, MO wala specialist. Jeshini kuna-co kibao wazee wanajiita ma-dr. Hawaja practice siku kibao. Dawa zao za kale e.g PPF, Chroloquine. Hawajui kusoma majibu yoyote ya Imaging diagnostcs e.g CT-Scan.Subirini DOTs.
 
Back
Top Bottom