Albaab
JF-Expert Member
- Jun 6, 2015
- 1,520
- 2,161
Tupia screenshotHuyu kigogo amekutana na dada mmoja anaitwa Veronica France ni balaa....Kigogo hadhubutu kumjibu
Tupia screenshotHuyu kigogo amekutana na dada mmoja anaitwa Veronica France ni balaa....Kigogo hadhubutu kumjibu
Kwani uviko ilikwisha?Hivi ni kweli hizi habari za mwenye nywele nyeupe Jamanii?
Uviko🙄😩Kwani uviko ilikwisha?
Switch tena!Hata mama pia switch ikizimwa tu tutavaa nyeusi tena
Ebow bado bwana uviko yupo mtaani kwako kaa chonjoUviko🙄😩
Mmh...uviko kama uviko...lol😅Ebow bado bwana uviko yupo mtaani kwako kaa chonjo
Usiache kujipatia covidol kwa matumainiMmh...uviko kama uviko...lol😅
Bora huyu Lissu umri huu hafiki blv meMmh miaka ina enda. Na Lissu atakuja kua kama huyu
asee nimemfuatilia huyo dada kama ni kweli anayoyasema basi nchi yetu ni ya kuiombea sn kumbe kigogo 2014 tunaye hapa hapa nchini ni kundi ndani ya kundi na kweli ukifuatilia inakuwaje siri za ikulu zinavuja kirahisi namna ile ...huyo dada ana hoja si bure...kuna mazito mengi sn ndn ykeandika maswali aliyoulizwa basi, na huyo Veronica ni nani
Mkuu nimecheka sana yaniList ni ndefu
Shimba cha wenyewe
Mkuu chicker
Na huyu mwingine
"Nashangaa kuona watu wazima na akili zao wakileta maneno ya uchuro eti nimekufa hata mimi walinitaja nimekufa..hajafa mtu hapa nitakufa kama Mungu akinitaka."Mwenyekiti wa chama cha TLP Agustino Mrema.
"Nimejisikia vibaya toka nilipo pata habari za msiba wa Hayati Magufuli nikiwa nyumbani kwangu Dar es Salaam, nimetuma mwakilishi wa chama akatoe pole na faraja nimeumia sana ila niliongea naye akiwa Chato ni kama tuliagana nikaongea na familia yake." Mwenyekiti wa Chama cha TLP, Agustino Mrema.
View attachment 1734148
Haya mambo haya ni magumu sanaSwitch tena!
Kama ni switch itakuwa one way switch
Tumpe umakamu Lissu banaaaa... Mrema aendelee na kazi yake ya u parole kule Magereza...Hivi hakuna namna japo tukampa umakamu wa rais huyu mrema? Au waandishi hamjamuuliza maoni yake akipewa hiyo nafas
List ni ndefu
Shimba cha wenyewe
Mkuu chicker
Na huyu mwingine
tumefikia sehemu mbaya sanaSafari hii naona ajira zinaanzanza kufunguka kwa kasi sana...Kila mheshimiwa inabidi afungue account angalau hata youtube....maana usipoonekana siku tatu tu unatafutwa kwenye account ya kigogo...social media runners mpo...?....tumeona mwenye nywele Nyeupe kapost akiwa anafuatilia msiba kupitia runinga yake....sio muda tunaona picha hii...