"Nashangaa kuona watu wazima na akili zao wakileta maneno ya uchuro eti nimekufa hata mimi walinitaja nimekufa..hajafa mtu hapa nitakufa kama Mungu akinitaka."Mwenyekiti wa chama cha TLP Agustino Mrema.
"Nimejisikia vibaya toka nilipo pata habari za msiba wa Hayati Magufuli nikiwa nyumbani kwangu Dar es Salaam, nimetuma mwakilishi wa chama akatoe pole na faraja nimeumia sana ila niliongea naye akiwa Chato ni kama tuliagana nikaongea na familia yake." Mwenyekiti wa Chama cha TLP, Agustino Mrema.
"Nimejisikia vibaya toka nilipo pata habari za msiba wa Hayati Magufuli nikiwa nyumbani kwangu Dar es Salaam, nimetuma mwakilishi wa chama akatoe pole na faraja nimeumia sana ila niliongea naye akiwa Chato ni kama tuliagana nikaongea na familia yake." Mwenyekiti wa Chama cha TLP, Agustino Mrema.