MstahikiMeya
JF-Expert Member
- Jan 8, 2014
- 1,633
- 559
Ndugu zangu wapendwa kuweni makini na wasichana wa kazi za ndani.
Kuna mama mmoja kaletewa house girl akaishi nae miezi 8 nyumbani kwake hapo jana mama huyo akaibiwa baadhi ya vitu vyake baada ya kumuuliza huyo dada wakazi 'nani kaiba na wewe ndie ninaekuachia nyumba' yule mfanyakazi hakutaka kujibu ndipo yule mama akaamua kumpeleka polisi akawajibishwe ili aseme ukweli.
Wakati polisi wa kike wanamvua nguo ili kumtishia umeme aseme ukweli ndipo wakakuta ni mwanaume si mwanamke.
Kumbe alikuwa anaweka matiti ya bandia.
Na kwa vile mwenye nyumba anashinda kazini hakupata muda wa kumchunguza sana jinsia yake,yeye alidhani ni mwanamke ila ana sura mbaya iliyokomaa kumbe dume, mbaya zaidi alikuwa anamlaza na watoto wa kike chumba kimoja.
Mtahadharishe na mwenzako.
AHSANTE.
Kuna mama mmoja kaletewa house girl akaishi nae miezi 8 nyumbani kwake hapo jana mama huyo akaibiwa baadhi ya vitu vyake baada ya kumuuliza huyo dada wakazi 'nani kaiba na wewe ndie ninaekuachia nyumba' yule mfanyakazi hakutaka kujibu ndipo yule mama akaamua kumpeleka polisi akawajibishwe ili aseme ukweli.
Wakati polisi wa kike wanamvua nguo ili kumtishia umeme aseme ukweli ndipo wakakuta ni mwanaume si mwanamke.
Kumbe alikuwa anaweka matiti ya bandia.
Na kwa vile mwenye nyumba anashinda kazini hakupata muda wa kumchunguza sana jinsia yake,yeye alidhani ni mwanamke ila ana sura mbaya iliyokomaa kumbe dume, mbaya zaidi alikuwa anamlaza na watoto wa kike chumba kimoja.
Mtahadharishe na mwenzako.
AHSANTE.