Fursa kwa wanaohitaji kujikita kati aujenzi wa uchumi kuoitia kilimo imekuja. Kwa siku 2 kuanzia 29-30 Nov. 2017 jijini Kampala, kutakuwepo na kongamano kubwa, ambalo wakulima, wafanyabiashara, wajasiliamali hususani kutoka kanda ya Ziwa na Mkoa wa Kagera hawapaswi kukosa. Maelezo ya kongamano hili yanapatikana hapa Agribusiness Congress East Africa, 29 - 30 November 2017, Uganda.
Kuhudhuria ni bure
Kuhudhuria ni bure