Jasho la Damu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 956
- 120
Napenda kumkaribisha waziri mwenye dhamana ya TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA kutembelea Idara ya kilimo/mifugo, H/M ya wilaya ya NGORONGORO ajionee UNYANYASAJI UNAOFANYIKA KWA WATUMISHI WA IDARA HIYO HASA WALE WALIOPO VITUO NJE YA MAKAO MAKUU YA WILAYA. matatizo yao yako mengi sana nitayaweka kwenye thread nyingine. TUKIUACHIA UNYANYASAJI HUU KILIMO HAKITOENDELEA MPAKA YESU ARUDI.