Agosti 31 ya JK: Baraza la EID huko Dodoma kutumika kurusha makombora, usikose!

GHOST RYDER

JF-Expert Member
Jun 10, 2011
1,025
475
Maelezo Mengine Muhimu yaliyokuwepo katika Thread Hii nimeyahamishia katika Attached document ili kutoa urahisi kwa wanaotumia JF Mobile kubrowse kwa urahisi katika michango ya wanaJF

DONDOO MUHIMU - By
Wanaelezea yafuatayo:

1. Ugawaji sawa wa kuchumi: Hapa msoma risala analalamikia serikali kuwawezesha wakristo pekee yao kupitia MOU

2. ANASEMA UCHAGUZI ULIOPITA ULITAWALIWA NA UDINI, hivyo tuepuke udini

3. Anasema serikali imewarudishia wakristo baadhi ya shule ilizotaifisha (hazitaji) hivyo waislam warudishiwe zao (hazitaji)

4. Mahakama ya kadhi,.anataka serikali waongeze kasi kuanzisha mahakama hiyo

5. Muswada wa sheria ya ndoa usikinzane na maandiko ya kiislam

Mufti anazungumzia matendo mema baada ya mwezi wa ramadhani,..anaongelea sana wizi wa wake za watujk anajibu vizuri hoja zaokuhusu MOU anawaambia nao waombe sio kusema wenzao wanyimwe


ADIOS


 

Attachments

  • Kesho ni Agosti 31 ni Eid Mosi na Kitaifa inafanyika huko Dodoma.doc
    50 KB · Views: 124
Hii ni dharau kwa WaTZ, hajaongea na Taifa kwa muda mrefu, leo anataka kuhutubia taifa kupitia kwenye baraza la Eid!! It must be more official than this, watu wakija kuhoji baadhi ya kauli utasikia "Alikuwa anaongea na BAKWATA"
 
Hii ni dharau kwa WaTZ, hajaongea na Taifa kwa muda mrefu, leo anataka kuhutubia taifa kupitia kwenye baraza la Eid!! It must be more official than this, watu wakija kuhoji baadhi ya kauli utasikia 'Alikuwa anaongea na BAKWATA'
Kwani wewe bado wafuatilia hotuba zake? Mie sikumbuki mara ya mwisho ilikuwa ni lini kuzisikiliza, hotuba zilikuwa za mzee Ben bwana ukiikosa kesho lazima utaikuta kwenye magazeti lakini ya huyu ustaadhi huyu wala hata sijihangaishi kupoteza mda wangu kusikiliza hotuba zake
 
...........................Nachosubiria ni kauli kama hizi;
  1. Kumeanza kuonekana chokochoko za udini kwa Taifa letu....
  2. Naomba tuheshimu utawala wa katiba,wananchi wamekikubali CCM wamekipa dhamana ya kuongoza....na si vinginevyo...(Hapa atakuwa anaogopa jinamizi lililowakuta akina Gaddafi na wenzake)
  3. Lazima Gaddafi atajwe kwasababu ni rafiki yake mkubwa...
 
Yes, leo ni mwisho wa mwezi lakini leo sikukuu ya EID kwa waislam. Kwa rais kutumia hii siku kwa mambo yake ya kisiasa ni kuwakosea waislam wenzake heshma and very selfish of him. Angeweza kutuo hotuba jana, lakini sio ku-hijack sikukuu ya dini kwa kwa siasa zake. Kama kweli atafanya hivyo basi kuna kila dalili kwamba rais wetu anatumia dini (again) kujificha. He is playing the victim game. Na hawezi kujitetea kuwa anatoa monthly speech kwa sababu hajawa consistent kwenye hili. Imepita zaidi ya miezi 5 sasa tangu atoe speech kwa hiyo hawezi kuja na hoja ya monthly speech.

Waislam nao wanabidi wawe waangalifu, maana wanaonekana kuruhusu dini yao kuwa contaminated na malumbano ya kidunia/siasa badala ya kujikita zaidi kwenye mafundisho ya dini. Let's wait and see kwanza kabla sija-comment zaidi.

Hata hivyo niwatakie Eid Mubarak waislam wote & I hope you have a blessed day.
 
sifurahii hata kidogo namna rais wetu anavyoiongoza nchi hii lakini pia nashidwa kuwaelewa wachangiaji flanii flani katika jukwaa hili ambao wanageuka kuwa watabiri na wasemaji wa rais. si haki kumtia maneno mdomoni kuwa rais atasema ....... katika sikukuu ya leo. tumpe nafasi aseme mwenyewe ili tuweze kujadili hotuba yake. tuache majuku na tutumie jukwaa hili kujenga na si kuleta fitna na umbea bila sababu. let us make jf a forum of great thinkers.
 
kama hatakuwa na kuongea bora akanyamaza maana zile kauli zake tata huwa zina madhara makubwa mfano ile ya chama kimepoteza dira hivyo lazima kijivue gamba..hilo gamba limemrudia nape kwani rostam anaoneakana ndio atakuwa msemaji iginga na Nape haruhusiwi kukanyaga igunga
 
kama hatakuwa na kuongea bora akanyamaza maana zile kauli zake tata huwa zina madhara makubwa mfano ile ya chama kimepoteza dira hivyo lazima kijivue gamba..hilo gamba limemrudia nape kwani rostam anaoneakana ndio atakuwa msemaji iginga na Nape haruhusiwi kukanyaga igunga

Ni saa 10 alasiri, muhimu sana kusikiliza Hotuba hii
 
sifurahii hata kidogo namna rais wetu anavyoiongoza nchi hii lakini pia nashidwa kuwaelewa wachangiaji flanii flani katika jukwaa hili ambao wanageuka kuwa watabiri na wasemaji wa rais. si haki kumtia maneno mdomoni kuwa rais atasema ....... katika sikukuu ya leo. tumpe nafasi aseme mwenyewe ili tuweze kujadili hotuba yake. tuache majuku na tutumie jukwaa hili kujenga na si kuleta fitna na umbea bila sababu. let us make jf a forum of great thinkers.

Great thinkers always think outside the box, dont be cycle minded BRO. Kachangie kwenye forum ya Celebrities seems politics game for you it meas something different
 
...........................Nachosubiria ni kauli kama hizi;
  1. Kumeanza kuonekana chokochoko za udini kwa Taifa letu....
  2. Naomba tuheshimu utawala wa katiba,wananchi wamekikubali CCM wamekipa dhamana ya kuongoza....na si vinginevyo...(Hapa atakuwa anaogopa jinamizi lililowakuta akina Gaddafi na wenzake)
  3. Lazima Gaddafi atajwe kwasababu ni rafiki yake mkubwa...

Udini umetawala sasa, unafiki na mambo mengi atajikosha leo
 
Yes, leo ni mwisho wa mwezi lakini leo sikukuu ya EID kwa waislam. Kwa rais kutumia hii siku kwa mambo yake ya kisiasa ni kuwakosea waislam wenzake heshma and very selfish of him. Angeweza kutuo hotuba jana, lakini sio ku-hijack sikukuu ya dini kwa kwa siasa zake. Kama kweli atafanya hivyo basi kuna kila dalili kwamba rais wetu anatumia dini (again) kujificha. He is playing the victim game. Na hawezi kujitetea kuwa anatoa monthly speech kwa sababu hajawa consistent kwenye hili. Imepita zaidi ya miezi 5 sasa tangu atoe speech kwa hiyo hawezi kuja na hoja ya monthly speech.



EID MUBARAK
Waislam nao wanabidi wawe waangalifu, maana wanaonekana kuruhusu dini yao kuwa contaminated na malumbano ya kidunia/siasa badala ya kujikita zaidi kwenye mafundisho ya dini. Let's wait and see kwanza kabla sija-comment zaidi.

Hata hivyo niwatakie Eid Mubarak waislam wote & I hope you have a blessed day.

Kama washauri wake watapita katika thread hii wanaweza kumpa hili angalizo ni muhimu sana kuliko kuchanganya mambo leo katika maadhimisho ya eid el fitr
 
Nimesoma maoni tofauti, lakini nimegundua UDINI na CHUKI binafsi kwa wachangiaji zinawasumbua sana. Mnatakiwa msijifikirie nyinyi (i.e WAKIRISTO) tu, pia waislamu wanahaki kama walivo wakiristo ndani ya nchi hii.
Wacheni ubinafsi wenu wana JF.

Wassalaam.
 
Nimesoma maoni tofauti, lakini nimegundua UDINI na CHUKI binafsi kwa wachangiaji zinawasumbua sana. Mnatakiwa msijifikirie nyinyi (i.e WAKIRISTO) tu, pia waislamu wanahaki kama walivo wakiristo ndani ya nchi hii.
Wacheni ubinafsi wenu wana JF.

Wassalaam.
Kinachozungumwa hapa c uislamu au Ukristo, JK 2005 alikuwa bado Muislamu Wakristo walimpa kura zaidi ya Waislamu sasa nani anleta udini, tukubaliane moja kuwa JK ameharibu kuharibu kwa JK c kuharibu kwa Uislamu,wale kufeli kwa JK c kufeli kwa Uislamu. Ila jk amekuwa akitumia Uislamu kama njia ya kujihami ili wale wakosoaji waseme ate anakosolewa kwasababu ya dini yake.
 
At 4pm nitamsikiliza kwa mara ya kwanza tangu miaka 3 iliyopita kama Ngeleja, Jairo hawatambelea mitaa yetu. then ntakuwa kwenye nafasi ya ku coment
 
At 4pm nitamsikiliza kwa mara ya kwanza tangu miaka 3 iliyopita kama Ngeleja, Jairo hawatambelea mitaa yetu. then ntakuwa kwenye nafasi ya ku coment

Despite mapungufu ya hapa na pale ni Mkuu wa Nchi na Heshima yake inadumu. Ni Muhimu kusikiliza Mkuu kujua kama mtawala nini agenda yake ya kuleta mageuzi katika Taifa na kuondoa Tatizo la kimfumo linalochangia kuporomoka kwa Uchumi na kufuatiwa na pacha wa tatizo hili akina njaa, maradhi, ujinga na umaskini unaoshamiri kuliko maelezo ya kawaida kwa watanzania.

LIVE UPDATE ZOTE ZITAPATIKANA HAPA FROM DOM
 
Huyu bro anashndwa tu kukiri kuwa gemu gumu. Kitendo cha kushndwa kutoa hotuba kwa miez kadhaa ni ishara tosha kuwa hana jipya la kusema. Anaona aibu kwa aliyoyatenda. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Chadema.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom