GHOST RYDER
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 1,025
- 475
- Thread starter
- #41
BAKWATA imesikitishwa sana na taarifa ya serikali ya kuwatuhumu kuhusika katika madawa ya kulevya na kuwa serikali iwe makini na iwataje wahusika bila kuficha na kuwachukulia hatua kama iwezekanavyo
Na kuwa BAKWATA imeitaka serikali kuwafichua viongozi wote wanaotumia mwavuli wa mashirika ya Dini kufanya biashara ya madawa ya kulevya
Na kuwa BAKWATA imeitaka serikali kuwafichua viongozi wote wanaotumia mwavuli wa mashirika ya Dini kufanya biashara ya madawa ya kulevya