Agosti 31 ya JK: Baraza la EID huko Dodoma kutumika kurusha makombora, usikose!

Yes, leo ni mwisho wa mwezi lakini leo sikukuu ya EID kwa waislam. Kwa rais kutumia hii siku kwa mambo yake ya kisiasa ni kuwakosea waislam wenzake heshma and very selfish of him. Angeweza kutuo hotuba jana, lakini sio ku-hijack sikukuu ya dini kwa kwa siasa zake. Kama kweli atafanya hivyo basi kuna kila dalili kwamba rais wetu anatumia dini (again) kujificha. He is playing the victim game. Na hawezi kujitetea kuwa anatoa monthly speech kwa sababu hajawa consistent kwenye hili. Imepita zaidi ya miezi 5 sasa tangu atoe speech kwa hiyo hawezi kuja na hoja ya monthly speech.

Waislam nao wanabidi wawe waangalifu, maana wanaonekana kuruhusu dini yao kuwa contaminated na malumbano ya kidunia/siasa badala ya kujikita zaidi kwenye mafundisho ya dini. Let's wait and see kwanza kabla sija-comment zaidi.

Hata hivyo niwatakie Eid Mubarak waislam wote & I hope you have a blessed day.
mh. rais dr jk kikwete yupo right; mwachieni ahutubie mbona hata mwl nyerere alikuwa anatumia anatumia sana nafasi kama hii ya baraza la eid kwa ajili ya kuwatoa ukungu baadhi ya watu wenye fikra potofu za uidini, ukabila na upendeleano kwa maeneo watokayo watu kama vile walivyo magwanda! nawaomba mumsikilize kwa makini mh. rais
 
...........................Nachosubiria ni kauli kama hizi; Kumeanza kuonekana chokochoko za udini kwa Taifa letu....
Naomba tuheshimu utawala wa katiba, wananchi wamekikubali CCM wamekipa dhamana ya kuongoza....na si vinginevyo...(Hapa atakuwa anaogopa jinamizi lililowakuta akina Gaddafi na wenzake) Lazima Gaddafi atajwe kwa sababu ni rafiki yake mkubwa...
Ama kweli milango yako ya fahamu yamefunga! Haya 2ambie, kwenye hz ahad, kazikamilisha zipi, kwa kiasi gan, na kwa asilimia ngap? Co tu kuleta ushabiki wa kichama.
 
Ama kweli milango yako ya fahamu yamefunga! Haya 2ambie, kwenye hz ahad, kazikamilisha zipi, kwa kiasi gan, na kwa asilimia ngap? Co tu kuleta ushabiki wa kichama.

Bahati mbaya sana hata wale wenye nafasi na uwezo wa kuhoji mambo wanaogopa kwa kulinda itikadi za vyama vyao, anatambua akifungua domo tu kuhoji ataulizwa wewe CCJ masalia au CDM, Inaonekana utamaduni wa Gamba ni kuwa mpole zaidi ya Kondoo il uendelee kuliwa vizuri kama vile unashabikia moto nyumba ya jirani wakati yako Moshi unafuka
 
Hataacha kutukumbusha hili la mada ya IGP " HAKI NA UTII WA SHERIA BILA KUSHURUTISHWA" nyambafu utii na njaa wapi na wapi?
 
Wako live TBC1na wametangaza JK atalihutubia taifa kupitia baraza la eid, sijui atatwambia nini.
Tumsikilize, I guess ataendelea kulalamikia maandamano na failures za serikali yake kwa sababu ya wapinzani
 
mda si mrefu jakaya atakuwa nahutubia balaza la eid ndani ya tbc ambao wamejiunga moja kwa moja kutoka dodoma msikiti wa gadaffi.mia
 
Kinachozungumwa hapa c uislamu au Ukristo, JK 2005 alikuwa bado Muislamu Wakristo walimpa kura zaidi ya Waislamu sasa nani anleta udini, tukubaliane moja kuwa JK ameharibu kuharibu kwa JK c kuharibu kwa Uislamu,wale kufeli kwa JK c kufeli kwa Uislamu. Ila jk amekuwa akitumia Uislamu kama njia ya kujihami ili wale wakosoaji waseme ate anakosolewa kwasababu ya dini yake.
maneno yako ni mazuri, yanasomeka na wajuao kusoma, wenye busara watayapenda, wenye hekima watawafundisha vizazi vyao, waalimu na wahadhiri watayanukuu wafundishapo............... bali wajinga watayahoji, wapumbavu watayakejeli.
 
Tupo ndani ya msikiti wa gadafi, dua inaanza kusomwa na sheikh mkuu wa mkoa wa dodoma
 
Atazungumza maswala ya kidin au ya nch?. Hapa siasa misikitin!!
 
LIVE AND DIRECT FROM MASJID GADAFI - DODOMA
GR and JojiPoji for More LIVE Updates
 
Dua na Quran Tukufu vimekamilika na sasa mzungumzaji ni mwenyekiti wa Baraza ambaye anawashukuru waumini kwa mahudhurio na kuwatakia kila la kheri watakaporejea makwao
 
Katibu mkuu wa bakwata anatoa machache kufuatana na ratiba ya baraza la eid
 
Mwenyekiti wa Halmashauri ya BAKWATA bado pia anasafisha njia kwa kuelezea maudhui za namna ambavyo Baraza limekuwa na utamaduni wa kufanya sherehe za Eid el Fitr kwa mzunguko na kuwa mwaka jana ilikuwa Tanga.

Anahimiza waumini kuzingatia maadili katika maisha yao ya kila siku kama walivyokuwa wakiishi wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani (Amani, Utulivu, Ukweli na kuacha kusema uongo, uzinifu, ulevi na machukizo mengine kwa Muumba)
 
Anaongeza kuwa Gharama za Hijjah mwaka huu ni dola 3850 ....gharama za kwenda na kurudi na taratibu wanazo makatibu wa BAKWATA WILAYA

KUMEKUCHA

Madawa ya Kulevya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom