Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,495
- 9,275
RC wa DSM Amos Makala ametoa siku ya jumapili wiki hii kuwa siku ya chanjo kimkoa katika uwanja wa Taifa kuanzia saa 2 asubuhi mpaka saa 10 jioni kwa Watu wote bila kuangalia umri na endapo hawatomaliza kwa muda huo, mda utaongezwa mpaka wote wamalizike.
RC Makala amesema sababu ya kuweka siku ya jumapili Watu wachanjwe kwa hiari yao katika eneo la wazi ni baada ya kupokea malalamiko kwamba Watu wanaenda lakini wanashindwa kupata chanjo kutokana na foleni kubwa na wanatakiwa katika majukumu mengine ya kazi.
RC Makalla amesema siku ya Jumapili Uwanja wa Taifa kutakuwa na Wahudumu 100 watakaotoa huduma ya chanjo, pia amewaagiza Wakuu wa Wilaya zote za DSM kuweka siku moja itayoruhusu Watumishi wote na Wananchi kupata chanjo ili kuwezesha wengi kuchanjwa
RC Makala amesema sababu ya kuweka siku ya jumapili Watu wachanjwe kwa hiari yao katika eneo la wazi ni baada ya kupokea malalamiko kwamba Watu wanaenda lakini wanashindwa kupata chanjo kutokana na foleni kubwa na wanatakiwa katika majukumu mengine ya kazi.
RC Makalla amesema siku ya Jumapili Uwanja wa Taifa kutakuwa na Wahudumu 100 watakaotoa huduma ya chanjo, pia amewaagiza Wakuu wa Wilaya zote za DSM kuweka siku moja itayoruhusu Watumishi wote na Wananchi kupata chanjo ili kuwezesha wengi kuchanjwa