Agony of investor as bank auctions Sh5 billion hotel

Hayo maujenzi sijui vipi. Ndo bei za ujenzi, nyumba na viwanja zikawa zinapaa kila kukicha. Tulikuwa kama tuko newyork au London. Maisha yakuigiza kabisa yale.

Waliokuwa wanakimbilia kila MTU mijengo na mahoteli ya thamani kubwa Kwa kipato cha wateja wapi? Au kutegemea mazungu ya unga?

Mauwekezaji kwenye ujenzi yalikuwa ya gharama sana na kila mmoja alikuwa anakimbilia huko Kwa sababu zake kuanzia watu binafsi mpaka taasisi za umma.

Unajenga jengo la bilioni 5 wateja wenyewe WA vipato vya laki 5 Kwa mwezi. Utapata wapi wateja kufanya marejesho na kupata faida baada ya kutoa garama za uendeshaji?

Ukisikia kuiga biashara ndo huku. Watu walijua kipindi cha kuhonga semina za serikali zikafanyikie hotelini kwao kitaendelea milele

Bora hata bosi slim angekuwa amefungua kiwanda cha uzalishaji. Uwekezaji kwenye maujenzi ulikuwa wazi ungefeli tu. Lilikuwa suala la muda
Sema imetokea haraka zaidi

Hali hii hata mimi niliiona. Nilihisi ongezeko la thamani kwenye ardhi na majengo halikuwa halisi. Sasa ukweli unajidhihirisha. Nimeona pia udhaifu mkubwa wa huyu mwekezaji ktk maamuzi yake. Maamuzi yake ktk kuwekeza yalikuwa based on speculation kwa sehemu kubwa.
 
Hayo maujenzi sijui vipi. Ndo bei za ujenzi, nyumba na viwanja zikawa zinapaa kila kukicha. Tulikuwa kama tuko newyork au London. Maisha yakuigiza kabisa yale.

Waliokuwa wanakimbilia kila MTU mijengo na mahoteli ya thamani kubwa Kwa kipato cha wateja wapi? Au kutegemea mazungu ya unga?

Mauwekezaji kwenye ujenzi yalikuwa ya gharama sana na kila mmoja alikuwa anakimbilia huko Kwa sababu zake kuanzia watu binafsi mpaka taasisi za umma.

Unajenga jengo la bilioni 5 wateja wenyewe WA vipato vya laki 5 Kwa mwezi. Utapata wapi wateja kufanya marejesho na kupata faida baada ya kutoa garama za uendeshaji?

Ukisikia kuiga biashara ndo huku. Watu walijua kipindi cha kuhonga semina za serikali zikafanyikie hotelini kwao kitaendelea milele

Bora hata bosi slim angekuwa amefungua kiwanda cha uzalishaji. Uwekezaji kwenye maujenzi ulikuwa wazi ungefeli tu. Lilikuwa suala la muda
Sema imetokea haraka zaidi
Dah ssa mkuu kma uwekezaji wa majengo ungefeli ssa iwaje kwenye hyo masterplan ya mji serikalo itenge eneo kwa ajili ya investor wa hoteli??? Kma ina target watalii kosa likwapi??? Hivi uwekezaji kwenye housing estates is doomed for disaster??? Kweli mnaona wateja ni wauza unga na mawaziri tu?? Kwani hakuna watalii wanaokuja kwa retreat ukizingatia bagamoyo ni mji wa kitalii ssa wwe badala uone challenge ni nni wwe unaanza kushabikia eti ujenzi ingefeli!!!

Mkuu hoja hapo ni kwamba serikali iliahidi kupaendeleza ssa mtu kashusha hoteli nyie hamjafanya lolote then mnaona kosa ni la mwekezaji???? U r suprising me
 
Ndiyo huyo-huyo. Ghafla hapa anaitwa muwekezaji na Norway eti alikuwa anafanya kazi za ujenzi! Slim huyu aliyejilipua Norway kama mkimbizi m-Ethiopia Mwaka 1987. Baada ya kuosha-osha wazee nyumba za malezi Oslo na kutoroka na mikopo ya benki (DnB) leo hapa anajiita "muwekezaji" na Benki Kuu iingilie kati!!? Tuendelee au tusiendelee..?
Kwa hiyo mtu anaejenga hoteli yenye uwezo wa kuajiri mamia ya watu hta kma ni muethiopia au muosha wazee anaitwaje????

Badala ya kujadili hoja mnaanza kujadili mtu!!
 
Na ndio sijui hata kama hizo bond zimenunuliwa.. Pia hata wale wenye akiba kidogo ataona kuliko afanye any physical investment kwa hali ya soko ilivyo mbaya ni bora anunue hizo bonds.. Hapo ndio ile multiplier effect inapomezwa kabisa maana hata hiyo pesa ikienda serikalini serikali inafanya biashara yenyewe kwa yenyewe.. Tender wanapewa NHC, JKT n.k

Sijui hata kama MF Dr. Mpango anashauri vitu kama hivi tunavyoviona sasa..

Tatizo kubwa ninaloliona katika mada hii ni kuungalia uchumi kama vile tupo darasani (ceteris peribus), nikimaanisha: mambo yote mengine yamesimama isipokuwa 'uchumi'. Kitu ambacho hakiwezekani hata siku moja. Uchumi ni usalama wa nchi, uchumi ni uongozi wa nchi, uchumi ni imani, dini na itikadi. Uchumi ni imani katika miamala (bonds), uchumi ni uhuru wa vyombo vya habari, usalama wa raia, uhusiano na nchi jirani na amani kwenye nchi hizo! Na kadhalika na kadhalika... sasa EWGM's unapoongelea government bonds in isolation then I'm lost! Step up to the plate! Lete mada tuongee, vinginevyo inakuwa kama tumekariri madarasa tuliyofundisha semester za kwanza!?

Bila shaka matumizi ya serikali zote duniani makubwa, suala nini cha kufanya, na vipi, ku-usisimua uchumi? Badala yake zimeanza dibaji: oh economic growth and economic sijui-nini
 
Dah ssa mkuu kma uwekezaji wa majengo ungefeli ssa iwaje kwenye hyo masterplan ya mji serikalo itenge eneo kwa ajili ya investor wa hoteli??? Kma ina target watalii kosa likwapi??? Hivi uwekezaji kwenye housing estates is doomed for disaster??? Kweli mnaona wateja ni wauza unga na mawaziri tu?? Kwani hakuna watalii wanaokuja kwa retreat ukizingatia bagamoyo ni mji wa kitalii ssa wwe badala uone challenge ni nni wwe unaanza kushabikia eti ujenzi ingefeli!!!

Mkuu hoja hapo ni kwamba serikali iliahidi kupaendeleza ssa mtu kashusha hoteli nyie hamjafanya lolote then mnaona kosa ni la mwekezaji???? U r suprising me

Mkuu, mwekezaji pia aliiamini mno serikali ilipotangaza uwekezaji wa bandari Bagamoyo. Hakuwa na sababu ya kuiamini serikali kiasi hicho; serikali yetu haijaanza kudanganya leo kuhusu miradi. Miradi mingapi nchini inaanzishwa halafu haikamiliki. Kuhusu wateja wa utalii, ni dhahiri wasingetosha kumhakikishia faida, ukizingatia ushindani wa hotels zilizopo Bagamoyo. Utalii nchini bado upo juu lakini kumbuka hotels nazo ni nyingi. Naona kama jamaa alitegemea bandari na vikao vya watumishi wa serikali zaidi kuliko share ya wateja wa utalii. Hilo ni kosa la kitaalamu kwa upande wake. He should have known better. It's Tanzania, duh!
 
Kwa hiyo mtu anaejenga hoteli yenye uwezo wa kuajiri mamia ya watu hta kma ni muethiopia au muosha wazee anaitwaje????

Badala ya kujadili hoja mnaanza kujadili mtu!![/QUOT

Zitto Junior, mengine ambayo huyajui tuliza ngoma. Usikurupuke tu kama panya buku almradi umechangia, japo haki yako kimsingi kuonyesha ulipoishia upeo wa uwezo wako kufikiri. Kama unafikiri.

Mtu ameleta hoja na hoja hiyo ni mtu aliyeileta: kama mtu amedai amedhulumiwa kutokana na uwekezaji wake, basi ameruhusi hoja kuhusu alivyowekeza. Upo? Usikariri-kariri tu mambo usiyoyajua.
 
Tatizo kubwa ninaloliona katika mada hii ni kuungalia uchumi kama vile tupo darasani (ceteris peribus), nikimaanisha: mambo yote mengine yamesimama isipokuwa 'uchumi'. Kitu ambacho hakiwezekani hata siku moja. Uchumi ni usalama wa nchi, uchumi ni uongozi wa nchi, uchumi ni imani, dini na itikadi. Uchumi ni imani katika miamala (bonds), uchumi ni uhuru wa vyombo vya habari, usalama wa raia, uhusiano na nchi jirani na amani kwenye nchi hizo! Na kadhalika na kadhalika... sasa EWGM's unapoongelea government bonds in isolation then I'm lost! Step up to the plate! Lete mada tuongee, vinginevyo inakuwa kama tumekariri madarasa tuliyofundisha semester za kwanza!?

Bila shaka matumizi ya serikali zote duniani makubwa, suala nini cha kufanya, na vipi, ku-usisimua uchumi? Badala yake zimeanza dibaji: oh economic growth and economic sijui-nini
Uchumi wetu sikuhizi unaongozwa na mwanasayansi.. Yaani kila kitu kiko ovyo ovyo tu na wala hakuna anayejali.

Ila concern yangu kubwa ni hivi ni Dr. Mpango ndiye anashauri haya??
 
Na ndio sijui hata kama hizo bond zimenunuliwa.. Pia hata wale wenye akiba kidogo ataona kuliko afanye any physical investment kwa hali ya soko ilivyo mbaya ni bora anunue hizo bonds.. Hapo ndio ile multiplier effect inapomezwa kabisa maana hata hiyo pesa ikienda serikalini serikali inafanya biashara yenyewe kwa yenyewe.. Tender wanapewa NHC, JKT n.k

Sijui hata kama MF Dr. Mpango anashauri vitu kama hivi tunavyoviona sasa..


Mkuu nimekuelewa sasa ni kweli kwa system wanayotumia serikali wanakamua mzunguko wa fedha to the maximum sababu pesa hairudi mtaani na kama inarudi inarudi kwa kiasi kidogo sana.

Ila ndiyo hivyo lazima tukubali raisi wetu si mchumi na hashauriki. Kwaushauri wangu mtu kama ana pesa yake ni afadhali aiweke kwenye fixed serving account kuliko hizo bonds sababu hii serikali imekosa kabisa uaminifu.
 
Ndiyo huyo-huyo. Ghafla hapa anaitwa muwekezaji na Norway eti alikuwa anafanya kazi za ujenzi! Slim huyu aliyejilipua Norway kama mkimbizi m-Ethiopia Mwaka 1987. Baada ya kuosha-osha wazee nyumba za malezi Oslo na kutoroka na mikopo ya benki (DnB) leo hapa anajiita "muwekezaji" na Benki Kuu iingilie kati!!? Tuendelee au tusiendelee..?

Miafrika bwana chuki na uhasidi ndio maana tumepewa ngzoi nyeusi na roho zetu nyeusi....sasa huu jamaa kama kachota hela huko katuletea hapa na ku create ajira ya watanzania.....Vikings wanasifiwa kwa vile waliiba mali nchi za watu nakupeleka kwao na waingereza waliopeleka rasilimali zetu nying kwao walipewa cheo cha Lord au Sir.......

awe ameosha vyoo au vinginevyo ni bora yeye ambaye jasho lake na akili zake ka invest TZ kuliko nyie baba zenu ambao aidha watumishi wa serikali au umma wanaiba hizi fedha zetu za walipa kodi na wakawepeleka nyie kusoma nje ndo mnakuja hapa kusema ovyo....wewe umefanya nini kwa nchi yajo jiulize.... damn
 
Kuna pahala nilisoma hapa jF kuwa majengo ya serikali hapa DSM thamani yake ni takribani 80 trillion. Sasa hebu fikiri una acha hiyo fedha yote iliyo wekezwa kwa kufuata ukatikati wa pahala zama hizi za sayansi na teknologia. Tena huo ukatikati unahitaji kutumia fedha nyingine katika uwekezaji huohuo ambao ulishaufanya awali. Eti serikali sasa ina brain storm kutafuta fedha za kujenga ofisi ya wizara ya ardhi au maliasi! Haya bwana muda ndio utakao tuamulia mbivu na mbichi tuwe na subira.



Na washawasha!



Huwezi kufananisha sababu za kuhamia Dodoma na ujenzi wa bandari ya Bagamoyo iliyo karibu sana na bandari ya Dar!! Kumbuka kuwa wanaohamia Dodoma ni serikali hivyo Dar itabakia kuwa commercial capital while Dodoma itakuwa makao makuu ya serikali. Sababu kubwa ya kuhamia Dodoma ni centrality ya mahala penyewe ili serikali kuu iweze kuwa karibu na sehemu nyingi za nchi katika kusukuma maendeleo!!
 
Kuna pahala nilisoma hapa jF kuwa majengo ya serikali hapa DSM thamani yake ni takribani 80 trillion. Sasa hebu fikiri una acha hiyo fedha yote iliyo wekezwa kwa kufuata ukatikati wa pahala zama hizi za sayansi na teknologia. Tena huo ukatikati unahitaji kutumia fedha nyingine katika uwekezaji huohuo ambao ulishaufanya awali. Eti serikali sasa ina brain storm kutafuta fedha za kujenga ofisi ya wizara ya ardhi au maliasi! Haya bwana muda ndio utakao tuamulia mbivu na mbichi tuwe na subira


I like your arguement; ni kweli uamuzi wowote makini ni lazima uangalie wakati gani unatekelezwa; point yako kuwa ile arguemnt ya centrality ya Dodoma kuwa ndio iwe kigezo cha kuhamia Dodoma kwa serikali kuu ili kuwafikia wananchi kwa haraka zaidi ilikuwa valid wakati wa Nyerere, kwani sayansi na technolojia ya wakati ule haikuweza kukidhi mahitaji ya mawasiliano ya haraka ukilinganisha na leo hii!!

Haya ndio mambo yanayotakiwa wananchi wote kuyajadili na Jpm na serikali yake sio kufanya mambo tu ili mradi yamo ndani ya ilani ya chama tawala!! Ni vizuri kuangalia the big picture kuona kama uwekezaji utakaofanyika huko Dodoma una faida kwa nchi. Inawezekana kabisa kuwa mawazo ya mwalimu yalikuwa relevant wakati ule na sio leo , hivyo maamuzi ya chama tawala ya zamani ni lazima yaangaliwe kwa macho ya leo kabla ya kuyatekeleza ili yawe na tija!
 
Miafrika bwana chuki na uhasidi ndio maana tumepewa ngzoi nyeusi na roho zetu nyeusi....sasa huu jamaa kama kachota hela huko katuletea hapa na ku create ajira ya watanzania.....Vikings wanasifiwa kwa vile waliiba mali nchi za watu nakupeleka kwao na waingereza waliopeleka rasilimali zetu nying kwao walipewa cheo cha Lord au Sir.......

awe ameosha vyoo au vinginevyo ni bora yeye ambaye jasho lake na akili zake ka invest TZ kuliko nyie baba zenu ambao aidha watumishi wa serikali au umma wanaiba hizi fedha zetu za walipa kodi na wakawepeleka nyie kusoma nje ndo mnakuja hapa kusema ovyo....wewe umefanya nini kwa nchi yajo jiulize.... damn

You are a fool, an idiot to boot. Sababu tu mshkaji wako ameiba then tuna hisani naye kumtetea! What a wanker!?
 
Hili ni tatizo kubwa, hiyo plan ya mji wa bagamoyo isipotekelezwa wawekezaji wengi watazika mitaji. Hata kivuko chenyewe kilichosifiwa sana wakati wa kutangaza tenda yake tusha wakabidhi wajeshi.
 
Before bor



Before you invest anywhere, you have to check the stability of the country and spending power of the people. Tanzania has been operating on false economy especially during Kikwete administration. Some investors were impressed by few people spending creating money circulation in the county, Most money spent by people during Kikwete administration was money stolen from the government in way of tenda or tax avoidance.

People were building hotels, expensive properties, and bank were giving loans without assessing the business and the economy. Property in Tanzania, especially in big cities they were overtaking western countries where spending power is several times better than that of Tanzania,
Saying that there is still a chance to invest in Tanzania and make a living. Low cost housing that is what ordinary Tanzanians wants, and not big hotels, luxtury housing expensive than their earnings. Most of big hotels survivei' by using to accommodate unnesseary government officials.
Tax avoidance is a perfectly legal thing to do..there is nothing wrong with it. I believe you were referring to tax evasion which is illegal and just plain wrong
 
i think this is an issue of taking too much risk. in a developing country, political instability is a big factor and small sway of policy or change of administration can have huge impact in the direction of the economy and flactuations;

Mr. Slim should not blame the government, i think he took a huge risk - when you are in debt, the bank can sell your property at ANY price; you can move from having £400K to -£20K in as short as 3 years; I dont know Mr Slims background in financial dealings but this sounds like a novice error; Gov cannot be blamed for not keeping its promises, Gov will always do whats important for the majority and if that direction doesnt favour few people so be it;



Wednesday, April 19, 2017
Agony of investor as bank auctions Sh5 billion hotel



pic+agony+of+investor.jpg

BAGAMOYO SPECIAL ECONOMIC ZONE PLAN : An aerial view of the investment plan for the new Bagamoyo City whose realisation is now in doubt as government has not shown clear intent of implementation. The delay has impcted negatively on other businesses. PHOTO|FILE


In Summary



    • The Exim Bank is auctioning Mr Slim’s luxury hotel and conference facility in Bagamoyo over his failure to repay a debt amounting to Sh900 million. The bank is asking for a reserve price of Sh2.5bn for the hotel, which Mr Slim contends is valued at about Sh5 billion. The hotel will be sold on Saturday.
  • The Bagamoyo resident’s prayer is that the hotel is sold for its true value so that he may recover some of his lifetime investment he made to establish the property.

By Alex Malanga @ChiefMalanga amalanga@tz.nationmedia.com
Dar es Salaam. For Mr Slim Slim, the next few days will be life-changing as he stands to lose an investment he set up using money he saved for over 25 years working as an expatriate in Norway.

The Exim Bank is auctioning Mr Slim’s luxury hotel and conference facility in Bagamoyo over his failure to repay a debt amounting to Sh900 million. The bank is asking for a reserve price of Sh2.5bn for the hotel, which Mr Slim contends is valued at about Sh5 billion. The hotel will be sold on Saturday.

The Bagamoyo resident’s prayer is that the hotel is sold for its true value so that he may recover some of his lifetime investment he made to establish the property.

“I also hope that the Bank of Tanzania can intervene to save investors like me from the torment that we are facing due to failed promises by the government to put in place a conducive climate to do business as promised,” he said.

Called Green Park Village, Mr Slim’s property was the dream that he carried back home after deciding to leave Norway. “I sold everything I owned in Norway and decided to come back to my country after a plea by the government for Tanzanians in the diaspora to take part in our country’s development,” he told The Citizen in an interview yesterday in Dar es Salaam.

Mr Slim is, however, not alone as several such investments in the hospitality and real estate are currently going through a rough patch in the wake of a financial crunch in the market.

Alongside the Green Park Village, Exim Bank is today also expected to auction Peninsula Apartments in Msasani for $5.2 million or Sh11.4 billion. The Citizen couldn’t immediately establish the amount that the apartment owners owe the bank. Financial institutions in the country are said to be sagging under huge non-performing loans from individuals and companies. Most banks are also not lending to bail out investors such as Mr Slim over market unpredictability even though BoT has recently taken policy measures to unlock an estimated Sh500 billion for the banks to extend credit facility to their clients.

A spokesperson at Exim Bank confirmed the lender has indeed advertised for the auctioning of the two properties after owners failed to clear their debts as agreed.

Yesterday Mr Slim, who was born in Bagamoyo 50 years ago, said he owes the bank Sh920 million for the facility located in Old Bagamoyo Town. He said he borrowed $400,000 at an interest rate of 10 per cent from the bank three years ago and failed to pay off the debt when it came due last year.

“The chunk of money that I owe the bank is not that far huge... it’s only a mere 20 per cent of the value of the property.” noted Mr Slim.

As of 2015, according to the bank’s valuation records, the value of Mr Slim’s property stood at Sh4.6 billion.

Many investors, according to Mr Slim, ran into trouble due to the unfriendly environment for investment in the country.

They include, lack of incentives, delay in completion of construction of Bagamoyo Port and Special Economic Zone in Bagamoyo, He said his investment was tied to the establishment of the port.

“I am now hurting for the sacrifice I made seven years back selling all my properties in Norway on an understanding that the investment environment in my country was attractive,” noted Mr Slim.

The man who worked and lived in Norway for 25 years lamented that the diaspora were told by the government that the Bagamoyo Port would be ready in five years but has since evaporated.

“I was optimistic that with the completion of the port I stood the chance to offer services to expatriates, importers and other users of the port.”

His investment of 20 luxury hotel rooms, seven conference facilities and two recreational centres have now turned into a source of nightmare for him.

“It is unimaginable that the property, of which I own 80 per cent, is to be auctioned just because of a mere 20 per cent owed to the bank,” he lamented, adding that he blames the government, not the bank, for his bad situation.

He said if the government was supportive to investors, it would request the Exim Bank to give him and others a grace period of at least a year to clear their debts. He also pointed an accusing finger at banks in Tanzania for their failure to refinance traders like him, saying he has requested for refinancing of the project from almost all banks in the country to no avail.

Mr Slim is also worried about a syndicate that, he claims, colludes to sell investors’ properties at throwaway prices. “I earnestly feel the central bank should have intervened in cases such as mine so that I don’t lose all the family’s lifetime savings,” he says, adding:

“This will be the fifth time my property comes up for auctioning but no credible buyers turned up during the auction… this is because investors don’t have courage to invest anymore,” he said.

He cautioned that if the government doesn’t improve the investment climate, it will scare away more other potential investors.

He said last year alone, there were five hotels he knew that closed due to poor business performance attributed to unfriendly environment for investment. He said there are 150 more hotels that have indicated they wanted to sell out of the local market.

“I am discouraged too; I neither have any other businesses nor business idea in mind to substitute my current business.” notes Mr Slim, a former employee of a construction company in Norway.

Reached for comment, Peninsula Apartments administration declined to comment on the sale of the beach front property.
 
Hayo maujenzi sijui vipi. Ndo bei za ujenzi, nyumba na viwanja zikawa zinapaa kila kukicha. Tulikuwa kama tuko newyork au London. Maisha yakuigiza kabisa yale.

Waliokuwa wanakimbilia kila MTU mijengo na mahoteli ya thamani kubwa Kwa kipato cha wateja wapi? Au kutegemea mazungu ya unga?

Mauwekezaji kwenye ujenzi yalikuwa ya gharama sana na kila mmoja alikuwa anakimbilia huko Kwa sababu zake kuanzia watu binafsi mpaka taasisi za umma.

Unajenga jengo la bilioni 5 wateja wenyewe WA vipato vya laki 5 Kwa mwezi. Utapata wapi wateja kufanya marejesho na kupata faida baada ya kutoa garama za uendeshaji?

Ukisikia kuiga biashara ndo huku. Watu walijua kipindi cha kuhonga semina za serikali zikafanyikie hotelini kwao kitaendelea milele

Bora hata bosi slim angekuwa amefungua kiwanda cha uzalishaji. Uwekezaji kwenye maujenzi ulikuwa wazi ungefeli tu. Lilikuwa suala la muda
Sema imetokea haraka zaidi
Umeongea ukweli mchungu. Ila wachangiaji wengi hapa wataanza mlaumu Raisi kwa kuwazingua wawekezaji. Huyu mwekezaji ni sawa na wawekezaji wengi mchwara waliokuwa wanawekeza kwenye mahoteli na apartments ya bei mbaya, walikuwa hawawalengi waTZ wa hali ya kawaida, zaidi walikuwa wanawalenga serikali na wageni. Sasa kibao kimegeuka, JPM anarekebisha makosa yaliyofanyika, sasa anapata alichopanda. Pole sana Mr Slim, uamuzi wako wa kurudi nyumbani ni sahihi, ila kuwekeza kwenye luxurious building bila kufanya proper feasibility study na kutumia akili ndogo tu kuelewa kwamba ujinga wa awamu ya 4 usingeendelea ndo umekufikisha hapo. Ungekuwa mjanja ungelenga middle to low class, sasa hivi ungekuwa unakula kuku tu. Hii ndo Bongo bwana, inabidi ujiongeze ili kutoboa. Ujanja ujanja umeisha awamu ya 4.
 
Ndiyo huyo-huyo. Ghafla hapa anaitwa muwekezaji na Norway eti alikuwa anafanya kazi za ujenzi! Slim huyu aliyejilipua Norway kama mkimbizi m-Ethiopia Mwaka 1987. Baada ya kuosha-osha wazee nyumba za malezi Oslo na kutoroka na mikopo ya benki (DnB) leo hapa anajiita "muwekezaji" na Benki Kuu iingilie kati!!? Tuendelee au tusiendelee..?
Hahahahaha. Mkuu umeniua na kicheko. Kapiga sana box sio? hahaha
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom