Ndo nilivyodhani, wangeachwa wanaume wapambane.. sijajiskia vizuriChadema hawapendi kuwapa wanawake nafasi matokeo yake wanabeba wanaume ambao ni rahisi kurubunika, Bona naye kajitahidi huko segerea ingekuwa vizuri achuane na huyo dada
SEGEREA
Jumla ya kura 144
Agness lambert 76...
kuna mtu ndani ya Chadema kanidokeza anasema ni strategy ya chama chao kuwa wote wawili (John Mrema na Agnesta Lambert) lazima waingie bungeni kwani wote ni wazuri.
so, anadai mkakati wao ni Agnesta kutinga bungeni kwa tiketi ya viti maalumu.