thehunk
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 527
- 221
Habari zamajukum Wanajamvi
Naomba kuuliza .
Takribani mwezi mmoja na nusu umepita tangu waziri wa ardhi makazi na maendeleo ya nyumba kutua agizo ya kuwa watu wote wa dar es salaam ambao walikuwa wanamiliki ardhi pasi na kuwa na hati ya ardhi amewapa muda ili waweze kupata hati hizo.
Na pia mtu yeyote kuanzia tamko lile lilipo tolewa hapaswi kununua kiwanja jijini dar es salaam kama hicho kiwanja hakina hati.
Swali, je agizo hili limeeanza kutekelezeka?...kwa maana nahitaji kununua kiwanja kwa sasa lakin hakija pimwa .na nahofia isije ikanikumba kadhia ya kutokutambulika
Na je watu bado wanauziana viwanja sasa jijin dar es salaam?
Naomba kuuliza .
Takribani mwezi mmoja na nusu umepita tangu waziri wa ardhi makazi na maendeleo ya nyumba kutua agizo ya kuwa watu wote wa dar es salaam ambao walikuwa wanamiliki ardhi pasi na kuwa na hati ya ardhi amewapa muda ili waweze kupata hati hizo.
Na pia mtu yeyote kuanzia tamko lile lilipo tolewa hapaswi kununua kiwanja jijini dar es salaam kama hicho kiwanja hakina hati.
Swali, je agizo hili limeeanza kutekelezeka?...kwa maana nahitaji kununua kiwanja kwa sasa lakin hakija pimwa .na nahofia isije ikanikumba kadhia ya kutokutambulika
Na je watu bado wanauziana viwanja sasa jijin dar es salaam?