Mabadiliko ya vifurushi kuanza tarehe 02/04/2021

Kasomi

JF-Expert Member
Sep 3, 2014
11,036
20,337
Kwa mjibu wa TCRA, mabadiliko ya vifurushi kuanza tarehe 02/04/2021.
Pia mitandao itawatarifu watumiaji wake mabadiliko hayo.
Baadhi ya mitandao unachanganya taarifa hizo kwa mfano rejea hapa.

Vodacom Tanzania
Habari, kuendelea kutoa huduma bora zaidi tutafanya marekebisho kwenye vifurushi 02/04/2021.Endelea kufurahia huduma bora kutoka Mtandao Supa.Vigezo kuzingatiwa

Lakini baadhi ya mitandao imetoa taarifa tofauti.
Rejea hapa.

Halotel Tanzania
Mpendwa mteja, Taarifa ya mabadiliko ya vifurushi vyetu vyote kuanzia tarehe 01/04/2021. Piga *148*66# kujiunga vifurushi. Asante kwa kutumia Halotel!
 
Back
Top Bottom