hakika utakufa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2016
- 1,789
- 819
Unaweza kuwa na suruhu na mwizi?uliona wapi kama c nyie ma ccm kukubali matokeo?Umeasahau Lissu mpenda sifa na mropokaji anataka mchanga tuachie huku tukidai haki zetu lakini mvunja nazi kasema mchanga hautoki na waje wakiri makosa kisha tukae meza moja.