Sooth
JF-Expert Member
- Apr 27, 2009
- 3,928
- 5,615
Inafurahisha kuona kwamba wabunge wa wapinzani wanapata adhabu kali sana kuliko wanayopata 'ACACIA'! Ndipo ngozi nyeusi tulipofika. Kauli ya 'Maendeleo hayana chama' ni kauli ya kunywea kahawa kijiweni, sio ya kuitilia maanani.
Kwa hili la kukandamiza upinzani, sitakuja kumuunga mkono huyu mzee wetu. Wakati mwingine unaweza ukahisi makinikia ni sarakasi tu, halina dhamira ya kweli ya kukomboa mtanzania. Ni la kupatia kiki na kura. Tukutane 2020 ili tukuonyeshe kuwa kama hutupendi hata sisi hatukupendi.
Kwa hili la kukandamiza upinzani, sitakuja kumuunga mkono huyu mzee wetu. Wakati mwingine unaweza ukahisi makinikia ni sarakasi tu, halina dhamira ya kweli ya kukomboa mtanzania. Ni la kupatia kiki na kura. Tukutane 2020 ili tukuonyeshe kuwa kama hutupendi hata sisi hatukupendi.