Mashabiki nao pia hawapati bwaa sheeWanamichezo hawapati Corona bwashee!
Wakivaa jezi za kushangilia!Mashabiki nao pia hawapati bwaa shee
Viongozi smart Tanzania ni enzi za J.K. Nyerere tuu.Viongozi wasio smart wenye Sheria zenye macho.
Katiba tunayo mbonaBaada ya kuisingizia Covid19 sasa wamejivua suluwale
Sasa hivi ndio tunaanza kuelewa ni Katiba19 na si Covid19 kama tunavyodanganywa Chadema itawaambukiza Wananchi Katiba Mpya.
Na wewe ni mmoja waoKatiba tunayo mbona
RC siku si nyingi atalipia uongo wakeAlizuia mikusanyiko ili kuwalinda wananchi na covid na amefanikiwa kuzuia mkutano wa Chadema ambao usingezidi watu 200 lakini kaachia mechi la Pamba vs coastal watu walijaa hatariView attachment 1862638View attachment 1862639
umeandika kibwege sana !Wanamichezo hawapati Corona bwashee!
Kuna Vitu vingine hata kama Wewe ni mwana CCM au unamkubali Rais Samia ila vinahitaji ama Akili ya Mwendawazimu au Mvuta Bangi Kuvitetea kwani ni vya Kipumbavu ( Kipopoma ) sana.Alizuia mikusanyiko ili kuwalinda wananchi na covid na amefanikiwa kuzuia mkutano wa Chadema ambao usingezidi watu 200 lakini kaachia mechi la Pamba vs coastal watu walijaa hatariView attachment 1862638View attachment 1862639
2-2 murahWametoka ngapi ngapi hiyo mechi muraah
NdiyoNa wewe ni mmoja wao
Lilikuwa ni agizo la kuzuia kongamano la katiba hakuna cha COVID-19 wala nini. Usanii wao unafurahisha.Alizuia mikusanyiko ili kuwalinda wananchi na covid na amefanikiwa kuzuia mkutano wa Chadema ambao usingezidi watu 200 lakini kaachia mechi la Pamba vs coastal watu walijaa hatari
View attachment 1862638View attachment 1862639