Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,551
Naomba niweke kumbukumbu sawa kidogo.
Wanasiasa wengi hasa wanaopingana nae wamekuwa wakimsema sana Mh Lowasa kwamba ni mgonjwa na hivyo hawezi kuhimili kiti cha Urais.
Maneno hayo huibuka kipindi cha kampeni. Lakini cha kushangaza toka uchaguzi uishe hakuna hata mtu mmoja aliyetamka kwamba Mh Lowasa ni mgonjwa Na mara nyingi wengi ambao wamekuwa wakimtabilia kifo mh lowasa wameshatangulia mbele za haki (RIP). Bado wachache tu.
Nauliza sasa:
Mh Lowasa ameshapona? Mbona hawamsemi tena?
Wanasiasa wengi hasa wanaopingana nae wamekuwa wakimsema sana Mh Lowasa kwamba ni mgonjwa na hivyo hawezi kuhimili kiti cha Urais.
Maneno hayo huibuka kipindi cha kampeni. Lakini cha kushangaza toka uchaguzi uishe hakuna hata mtu mmoja aliyetamka kwamba Mh Lowasa ni mgonjwa Na mara nyingi wengi ambao wamekuwa wakimtabilia kifo mh lowasa wameshatangulia mbele za haki (RIP). Bado wachache tu.
Nauliza sasa:
Mh Lowasa ameshapona? Mbona hawamsemi tena?