Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Habari za kuaminika tika kwa mtu aliye karibu kabisa na SEKRETARIETI YA CHADEMA atoa siri kwamba , kumbe baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 walikubaliana kile walichokiita ILANI BAADA YA UCHAGUZI ikiwa ni njia mojawapo ya kuwapotosha Wananchi ili wawapigie kura mwaka 2015. Aidha kwa mujibu wa Kadha huyo wa CDM, walifikia uamuzi huo baada ya kufanya utafiti na kugundua kuwa Wananchi wanaamini kila lisemwalo na Viongozi wa Chama hicho hata kama halina ukweli wowote. Ilani inasema:
1. Kuendesha migomo na Maandamano hata kama hakuna ulazima wa kufanya hivyo;
2. Kupotosha Maendeleo yanayofanywa na Serikali ikiwa ni pamoja na huduma za jamii, mfano Ujenzi wa Shule za Kata na Zahanati;
3. Kuwapaka matope Makada wa Chama tawala wanaoonekana kuwa wasafi kwa vile wanaona wanaweza kuwawekea kauzibe katika Uchaguzi wa mwaka 2015 mfano, Maghufuli, Nape, Salim Ahamed Salim, Asha Rose Migiro, Anne Makinda, Benard Membe na wengine wengi;
4. Kutumia muda mwingi kuvilaumu vyombo vya ulinzi hasa Jeshi la Polisi kwa kutumia maneno ya kashfa kama vile POLISI WAMEUA N.K;
5. Kuwalipa vijana wenye utaalamu na matumizi ya mfumo wa Kompyuta ili waweze kupost kwenye mitandao ya kijamii zikiwemo blogs mbalimbali maneno yenye uongo, uchochezi na kukashfu viongozi ili Serikali ionekane kushindwa kufanya kazi;
6. Kuwatumia Makada wa CCM wanaopinga ufisadi yaani SITTA, MWAKYEMBE, OLESENDEKA, KILANGO na wengine ili kufanya mashambulizi ya waziwazi kwa wale wanaotuhumiwa kwa UFISAD. Yaani wanatumia falsafa ya" DIVIDE AND RULE" ili kuwachonganisha;
7. Kuwahonga Madiwani wa CCM ili kutoa siri za vikao ndani ya CCM;
8. Kupata taarifa za mapema juu ya Miradi inayobuniwa na kutekelezwa na Serikali na kufanya mikutano ya hadhara katika maeneo husika na kuwapotosha wananchi kuwa wao ndiyo wamebuni miradi hiyo na siyo serikali;
9. Kutumia taasisi zisizo za kiserikali kupitia wahisani toka nje kuendesha propaganda kwamba Tanzania haishimu haki za kibinadamu;
10. Kuandaa midahalo kwa kupitia migongo itakayoendeshwa na makada wa Chama hicho kwa kupitia mgongo wa taasisi zisizo za kiserikali na kuwaalika watu wengi wakiwa wanazuoni wanaokiunga mkono CDM n.k
Tutafakari hili jamani, mimi mwenyewe naweza kusema nimeshaanza kuona mbinu hizi chafu, nimesoma gazeti za juzi linasema MAFISADI WAMTEGA MAGHUFULI, siku nyingine niliingia katika tovuti ya U-tube nikakumbana na kitu ambacho kilinishangaza kidogo, Dr. SLAA anaongea na bwana mmoja wa ugaibuni eti alinyang'anywa shamba lake nchini . Dr anasema nchi yetu haifuati haki za binadamu na anamwahidi kuwa akiwa rais atahakikisha shamba lake linarudi.
Ingia you-tube na search A REPRATRIATE'S PLIGHT ujionee .Huyo ndiye kila siku anapigia kelele uzawa?. Wafanya biashara wa kununua Pamba kule Tabora walishawishiwa na CDM wasinunue zao hilo kwa bei elekezi ya Serikali, Shule za kata na zahanati zinabezwa kila siku. Kumbe walishakubaliana hayo ili Nchi isitawalike.
1. Kuendesha migomo na Maandamano hata kama hakuna ulazima wa kufanya hivyo;
2. Kupotosha Maendeleo yanayofanywa na Serikali ikiwa ni pamoja na huduma za jamii, mfano Ujenzi wa Shule za Kata na Zahanati;
3. Kuwapaka matope Makada wa Chama tawala wanaoonekana kuwa wasafi kwa vile wanaona wanaweza kuwawekea kauzibe katika Uchaguzi wa mwaka 2015 mfano, Maghufuli, Nape, Salim Ahamed Salim, Asha Rose Migiro, Anne Makinda, Benard Membe na wengine wengi;
4. Kutumia muda mwingi kuvilaumu vyombo vya ulinzi hasa Jeshi la Polisi kwa kutumia maneno ya kashfa kama vile POLISI WAMEUA N.K;
5. Kuwalipa vijana wenye utaalamu na matumizi ya mfumo wa Kompyuta ili waweze kupost kwenye mitandao ya kijamii zikiwemo blogs mbalimbali maneno yenye uongo, uchochezi na kukashfu viongozi ili Serikali ionekane kushindwa kufanya kazi;
6. Kuwatumia Makada wa CCM wanaopinga ufisadi yaani SITTA, MWAKYEMBE, OLESENDEKA, KILANGO na wengine ili kufanya mashambulizi ya waziwazi kwa wale wanaotuhumiwa kwa UFISAD. Yaani wanatumia falsafa ya" DIVIDE AND RULE" ili kuwachonganisha;
7. Kuwahonga Madiwani wa CCM ili kutoa siri za vikao ndani ya CCM;
8. Kupata taarifa za mapema juu ya Miradi inayobuniwa na kutekelezwa na Serikali na kufanya mikutano ya hadhara katika maeneo husika na kuwapotosha wananchi kuwa wao ndiyo wamebuni miradi hiyo na siyo serikali;
9. Kutumia taasisi zisizo za kiserikali kupitia wahisani toka nje kuendesha propaganda kwamba Tanzania haishimu haki za kibinadamu;
10. Kuandaa midahalo kwa kupitia migongo itakayoendeshwa na makada wa Chama hicho kwa kupitia mgongo wa taasisi zisizo za kiserikali na kuwaalika watu wengi wakiwa wanazuoni wanaokiunga mkono CDM n.k
Tutafakari hili jamani, mimi mwenyewe naweza kusema nimeshaanza kuona mbinu hizi chafu, nimesoma gazeti za juzi linasema MAFISADI WAMTEGA MAGHUFULI, siku nyingine niliingia katika tovuti ya U-tube nikakumbana na kitu ambacho kilinishangaza kidogo, Dr. SLAA anaongea na bwana mmoja wa ugaibuni eti alinyang'anywa shamba lake nchini . Dr anasema nchi yetu haifuati haki za binadamu na anamwahidi kuwa akiwa rais atahakikisha shamba lake linarudi.
Ingia you-tube na search A REPRATRIATE'S PLIGHT ujionee .Huyo ndiye kila siku anapigia kelele uzawa?. Wafanya biashara wa kununua Pamba kule Tabora walishawishiwa na CDM wasinunue zao hilo kwa bei elekezi ya Serikali, Shule za kata na zahanati zinabezwa kila siku. Kumbe walishakubaliana hayo ili Nchi isitawalike.