Agenda ya chadema baada ya uchaguzi mkuu wa mwka 2010

Mwanajamii

JF-Expert Member
Mar 5, 2008
7,063
68
Habari za kuaminika tika kwa mtu aliye karibu kabisa na SEKRETARIETI YA CHADEMA atoa siri kwamba , kumbe baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 walikubaliana kile walichokiita ILANI BAADA YA UCHAGUZI ikiwa ni njia mojawapo ya kuwapotosha Wananchi ili wawapigie kura mwaka 2015. Aidha kwa mujibu wa Kadha huyo wa CDM, walifikia uamuzi huo baada ya kufanya utafiti na kugundua kuwa Wananchi wanaamini kila lisemwalo na Viongozi wa Chama hicho hata kama halina ukweli wowote. Ilani inasema:

1. Kuendesha migomo na Maandamano hata kama hakuna ulazima wa kufanya hivyo;

2. Kupotosha Maendeleo yanayofanywa na Serikali ikiwa ni pamoja na huduma za jamii, mfano Ujenzi wa Shule za Kata na Zahanati;

3. Kuwapaka matope Makada wa Chama tawala wanaoonekana kuwa wasafi kwa vile wanaona wanaweza kuwawekea kauzibe katika Uchaguzi wa mwaka 2015 mfano, Maghufuli, Nape, Salim Ahamed Salim, Asha Rose Migiro, Anne Makinda, Benard Membe na wengine wengi;

4. Kutumia muda mwingi kuvilaumu vyombo vya ulinzi hasa Jeshi la Polisi kwa kutumia maneno ya kashfa kama vile POLISI WAMEUA N.K;

5. Kuwalipa vijana wenye utaalamu na matumizi ya mfumo wa Kompyuta ili waweze kupost kwenye mitandao ya kijamii zikiwemo blogs mbalimbali maneno yenye uongo, uchochezi na kukashfu viongozi ili Serikali ionekane kushindwa kufanya kazi;

6. Kuwatumia Makada wa CCM wanaopinga ufisadi yaani SITTA, MWAKYEMBE, OLESENDEKA, KILANGO na wengine ili kufanya mashambulizi ya waziwazi kwa wale wanaotuhumiwa kwa UFISAD. Yaani wanatumia falsafa ya" DIVIDE AND RULE" ili kuwachonganisha;

7. Kuwahonga Madiwani wa CCM ili kutoa siri za vikao ndani ya CCM;

8. Kupata taarifa za mapema juu ya Miradi inayobuniwa na kutekelezwa na Serikali na kufanya mikutano ya hadhara katika maeneo husika na kuwapotosha wananchi kuwa wao ndiyo wamebuni miradi hiyo na siyo serikali;

9. Kutumia taasisi zisizo za kiserikali kupitia wahisani toka nje kuendesha propaganda kwamba Tanzania haishimu haki za kibinadamu;

10. Kuandaa midahalo kwa kupitia migongo itakayoendeshwa na makada wa Chama hicho kwa kupitia mgongo wa taasisi zisizo za kiserikali na kuwaalika watu wengi wakiwa wanazuoni wanaokiunga mkono CDM n.k

Tutafakari hili jamani, mimi mwenyewe naweza kusema nimeshaanza kuona mbinu hizi chafu, nimesoma gazeti za juzi linasema MAFISADI WAMTEGA MAGHUFULI, siku nyingine niliingia katika tovuti ya U-tube nikakumbana na kitu ambacho kilinishangaza kidogo, Dr. SLAA anaongea na bwana mmoja wa ugaibuni eti alinyang'anywa shamba lake nchini . Dr anasema nchi yetu haifuati haki za binadamu na anamwahidi kuwa akiwa rais atahakikisha shamba lake linarudi.

Ingia you-tube na search A REPRATRIATE'S PLIGHT ujionee .Huyo ndiye kila siku anapigia kelele uzawa?. Wafanya biashara wa kununua Pamba kule Tabora walishawishiwa na CDM wasinunue zao hilo kwa bei elekezi ya Serikali, Shule za kata na zahanati zinabezwa kila siku. Kumbe walishakubaliana hayo ili Nchi isitawalike.
 
Kila mtu ana haki ya kuongea na kutoa maoni so sishangai ndo maoni yako inawauma sana cdm inavyokubalika
 
Habari za kuaminika tika kwa mtu aliye karibu kabisa na SEKRETARIETI YA CHADEMA atoa siri kwamba , kumbe baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 walikubaliana kile walichokiita ILANI BAADA YA UCHAGUZI ikiwa ni njia mojawapo ya kuwapotosha Wananchi ili wawapigie kura mwaka 2015. Aidha kwa mujibu wa Kadha huyo wa CDM, walifikia uamuzi huo baada ya kufanya utafiti na kugundua kuwa Wananchi wanaamini kila lisemwalo na Viongozi wa Chama hicho hata kama halina ukweli wowote. Ilani inasema:

1. Kuendesha migomo na Maandamano hata kama hakuna ulazima wa kufanya hivyo;

2. Kupotosha Maendeleo yanayofanywa na Serikali ikiwa ni pamoja na huduma za jamii, mfano Ujenzi wa Shule za Kata na Zahanati;

3. Kuwapaka matope Makada wa Chama tawala wanaoonekana kuwa wasafi kwa vile wanaona wanaweza kuwawekea kauzibe katika Uchaguzi wa mwaka 2015 mfano, Maghufuli, Nape, Salim Ahamed Salim, Asha Rose Migiro, Anne Makinda, Benard Membe na wengine wengi;

4. Kutumia muda mwingi kuvilaumu vyombo vya ulinzi hasa Jeshi la Polisi kwa kutumia maneno ya kashfa kama vile POLISI WAMEUA N.K;

5. Kuwalipa vijana wenye utaalamu na matumizi ya mfumo wa Kompyuta ili waweze kupost kwenye mitandao ya kijamii zikiwemo blogs mbalimbali maneno yenye uongo, uchochezi na kukashfu viongozi ili Serikali ionekane kushindwa kufanya kazi;

6. Kuwatumia Makada wa CCM wanaopinga ufisadi yaani SITTA, MWAKYEMBE, OLESENDEKA, KILANGO na wengine ili kufanya mashambulizi ya waziwazi kwa wale wanaotuhumiwa kwa UFISAD. Yaani wanatumia falsafa ya" DIVIDE AND RULE" ili kuwachonganisha;

7. Kuwahonga Madiwani wa CCM ili kutoa siri za vikao ndani ya CCM;

8. Kupata taarifa za mapema juu ya Miradi inayobuniwa na kutekelezwa na Serikali na kufanya mikutano ya hadhara katika maeneo husika na kuwapotosha wananchi kuwa wao ndiyo wamebuni miradi hiyo na siyo serikali;

9. Kutumia taasisi zisizo za kiserikali kupitia wahisani toka nje kuendesha propaganda kwamba Tanzania haishimu haki za kibinadamu;

10. Kuandaa midahalo kwa kupitia migongo itakayoendeshwa na makada wa Chama hicho kwa kupitia mgongo wa taasisi zisizo za kiserikali na kuwaalika watu wengi wakiwa wanazuoni wanaokiunga mkono CDM n.k

Tutafakari hili jamani, mimi mwenyewe naweza kusema nimeshaanza kuona mbinu hizi chafu, nimesoma gazeti za juzi linasema MAFISADI WAMTEGA MAGHUFULI, siku nyingine niliingia katika tovuti ya U-tube nikakumbana na kitu ambacho kilinishangaza kidogo, Dr. SLAA anaongea na bwana mmoja wa ugaibuni eti alinyang'anywa shamba lake nchini . Dr anasema nchi yetu haifuati haki za binadamu na anamwahidi kuwa akiwa rais atahakikisha shamba lake linarudi.

Ingia you-tube na search A REPRATRIATE'S PLIGHT ujionee .Huyo ndiye kila siku anapigia kelele uzawa?. Wafanya biashara wa kununua Pamba kule Tabora walishawishiwa na CDM wasinunue zao hilo kwa bei elekezi ya Serikali, Shule za kata na zahanati zinabezwa kila siku. Kumbe walishakubaliana hayo ili Nchi isitawalike.

Hapa umekaanga jiwe mkuu haliliki hata ukitia kitu gani! ww ndo mpotoshaji kabisa inawezekana ww ni Riz au Nape ambao kula yenu mpaka ujipendekeze kwa kutengeneza propaganda za kipuuzi kama hiyo.Kikubwa tunakupa pole Watanzania wanajua sasa hivi si kama zamani.
 
Habari za kuaminika tika kwa mtu aliye karibu kabisa na SEKRETARIETI YA CHADEMA atoa siri kwamba , kumbe baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 walikubaliana kile walichokiita ILANI BAADA YA UCHAGUZI ikiwa ni njia mojawapo ya kuwapotosha Wananchi ili wawapigie kura mwaka 2015. Aidha kwa mujibu wa Kadha huyo wa CDM, walifikia uamuzi huo baada ya kufanya utafiti na kugundua kuwa Wananchi wanaamini kila lisemwalo na Viongozi wa Chama hicho hata kama halina ukweli wowote. Ilani inasema:

1. Kuendesha migomo na Maandamano hata kama hakuna ulazima wa kufanya hivyo;

2. Kupotosha Maendeleo yanayofanywa na Serikali ikiwa ni pamoja na huduma za jamii, mfano Ujenzi wa Shule za Kata na Zahanati;

3. Kuwapaka matope Makada wa Chama tawala wanaoonekana kuwa wasafi kwa vile wanaona wanaweza kuwawekea kauzibe katika Uchaguzi wa mwaka 2015 mfano, Maghufuli, Nape, Salim Ahamed Salim, Asha Rose Migiro, Anne Makinda, Benard Membe na wengine wengi;

4. Kutumia muda mwingi kuvilaumu vyombo vya ulinzi hasa Jeshi la Polisi kwa kutumia maneno ya kashfa kama vile POLISI WAMEUA N.K;

5. Kuwalipa vijana wenye utaalamu na matumizi ya mfumo wa Kompyuta ili waweze kupost kwenye mitandao ya kijamii zikiwemo blogs mbalimbali maneno yenye uongo, uchochezi na kukashfu viongozi ili Serikali ionekane kushindwa kufanya kazi;

6. Kuwatumia Makada wa CCM wanaopinga ufisadi yaani SITTA, MWAKYEMBE, OLESENDEKA, KILANGO na wengine ili kufanya mashambulizi ya waziwazi kwa wale wanaotuhumiwa kwa UFISAD. Yaani wanatumia falsafa ya” DIVIDE AND RULE” ili kuwachonganisha;

7. Kuwahonga Madiwani wa CCM ili kutoa siri za vikao ndani ya CCM;

8. Kupata taarifa za mapema juu ya Miradi inayobuniwa na kutekelezwa na Serikali na kufanya mikutano ya hadhara katika maeneo husika na kuwapotosha wananchi kuwa wao ndiyo wamebuni miradi hiyo na siyo serikali;

9. Kutumia taasisi zisizo za kiserikali kupitia wahisani toka nje kuendesha propaganda kwamba Tanzania haishimu haki za kibinadamu;

10. Kuandaa midahalo kwa kupitia migongo itakayoendeshwa na makada wa Chama hicho kwa kupitia mgongo wa taasisi zisizo za kiserikali na kuwaalika watu wengi wakiwa wanazuoni wanaokiunga mkono CDM n.k

Tutafakari hili jamani, mimi mwenyewe naweza kusema nimeshaanza kuona mbinu hizi chafu, nimesoma gazeti za juzi linasema MAFISADI WAMTEGA MAGHUFULI, siku nyingine niliingia katika tovuti ya U-tube nikakumbana na kitu ambacho kilinishangaza kidogo, Dr. SLAA anaongea na bwana mmoja wa ugaibuni eti alinyang’anywa shamba lake nchini . Dr anasema nchi yetu haifuati haki za binadamu na anamwahidi kuwa akiwa rais atahakikisha shamba lake linarudi.

Ingia you-tube na search A REPRATRIATE’S PLIGHT ujionee .Huyo ndiye kila siku anapigia kelele uzawa?. Wafanya biashara wa kununua Pamba kule Tabora walishawishiwa na CDM wasinunue zao hilo kwa bei elekezi ya Serikali, Shule za kata na zahanati zinabezwa kila siku. Kumbe walishakubaliana hayo ili Nchi isitawalike.

taratibu basi kaka/dada....

hata kama ni kutumwa, ndio iwe hivi? wenzio hatufanyagi hivo bana!
 
No research no data, no data no right to talk, you better keep quite rather than talking rubbish!!!
 
Habari za kuaminika tika kwa mtu aliye karibu kabisa na SEKRETARIETI YA CHADEMA atoa siri kwamba , kumbe baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 walikubaliana kile walichokiita ILANI BAADA YA UCHAGUZI ikiwa ni njia mojawapo ya kuwapotosha Wananchi ili wawapigie kura mwaka 2015. Aidha kwa mujibu wa Kadha huyo wa CDM, walifikia uamuzi huo baada ya kufanya utafiti na kugundua kuwa Wananchi wanaamini kila lisemwalo na Viongozi wa Chama hicho hata kama halina ukweli wowote. Ilani inasema:

1. Kuendesha migomo na Maandamano hata kama hakuna ulazima wa kufanya hivyo;

2. Kupotosha Maendeleo yanayofanywa na Serikali ikiwa ni pamoja na huduma za jamii, mfano Ujenzi wa Shule za Kata na Zahanati;

3. Kuwapaka matope Makada wa Chama tawala wanaoonekana kuwa wasafi kwa vile wanaona wanaweza kuwawekea kauzibe katika Uchaguzi wa mwaka 2015 mfano, Maghufuli, Nape, Salim Ahamed Salim, Asha Rose Migiro, Anne Makinda, Benard Membe na wengine wengi;

4. Kutumia muda mwingi kuvilaumu vyombo vya ulinzi hasa Jeshi la Polisi kwa kutumia maneno ya kashfa kama vile POLISI WAMEUA N.K;

5. Kuwalipa vijana wenye utaalamu na matumizi ya mfumo wa Kompyuta ili waweze kupost kwenye mitandao ya kijamii zikiwemo blogs mbalimbali maneno yenye uongo, uchochezi na kukashfu viongozi ili Serikali ionekane kushindwa kufanya kazi;

6. Kuwatumia Makada wa CCM wanaopinga ufisadi yaani SITTA, MWAKYEMBE, OLESENDEKA, KILANGO na wengine ili kufanya mashambulizi ya waziwazi kwa wale wanaotuhumiwa kwa UFISAD. Yaani wanatumia falsafa ya” DIVIDE AND RULE” ili kuwachonganisha;

7. Kuwahonga Madiwani wa CCM ili kutoa siri za vikao ndani ya CCM;

8. Kupata taarifa za mapema juu ya Miradi inayobuniwa na kutekelezwa na Serikali na kufanya mikutano ya hadhara katika maeneo husika na kuwapotosha wananchi kuwa wao ndiyo wamebuni miradi hiyo na siyo serikali;

9. Kutumia taasisi zisizo za kiserikali kupitia wahisani toka nje kuendesha propaganda kwamba Tanzania haishimu haki za kibinadamu;

10. Kuandaa midahalo kwa kupitia migongo itakayoendeshwa na makada wa Chama hicho kwa kupitia mgongo wa taasisi zisizo za kiserikali na kuwaalika watu wengi wakiwa wanazuoni wanaokiunga mkono CDM n.k

Tutafakari hili jamani, mimi mwenyewe naweza kusema nimeshaanza kuona mbinu hizi chafu, nimesoma gazeti za juzi linasema MAFISADI WAMTEGA MAGHUFULI, siku nyingine niliingia katika tovuti ya U-tube nikakumbana na kitu ambacho kilinishangaza kidogo, Dr. SLAA anaongea na bwana mmoja wa ugaibuni eti alinyang’anywa shamba lake nchini . Dr anasema nchi yetu haifuati haki za binadamu na anamwahidi kuwa akiwa rais atahakikisha shamba lake linarudi.

Ingia you-tube na search A REPRATRIATE’S PLIGHT ujionee .Huyo ndiye kila siku anapigia kelele uzawa?. Wafanya biashara wa kununua Pamba kule Tabora walishawishiwa na CDM wasinunue zao hilo kwa bei elekezi ya Serikali, Shule za kata na zahanati zinabezwa kila siku. Kumbe walishakubaliana hayo ili Nchi isitawalike.
Kumbe uliongea na "KADHA WA CDM" siyo Kada wa CDM hivyo umetumwa na wale Mafisi mwitu wenzio mlioapa kuifilisi TZ. Na kila anayewapinga mnaunda mizengwe!!?? na kuua kwa sumu/ajali za kubambikia hata kama ni mmoja wenu mifano ipo mingi kuanzia na Kolimba na hao mliojaza India stuuupid!! nimezirai kwa mshtukoooooo!!!!!!!!!!!!
 
Kuna uumuhimu gani wa kurudia thread moja kila mara? Ndiyo mwongozo uliopewa nini?
 
Habari za kuaminika tika kwa mtu aliye karibu kabisa na SEKRETARIETI YA CHADEMA atoa siri kwamba , kumbe baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 walikubaliana kile walichokiita ILANI BAADA YA UCHAGUZI ikiwa ni njia mojawapo ya kuwapotosha Wananchi ili wawapigie kura mwaka 2015. Aidha kwa mujibu wa Kadha huyo wa CDM, walifikia uamuzi huo baada ya kufanya utafiti na kugundua kuwa Wananchi wanaamini kila lisemwalo na Viongozi wa Chama hicho hata kama halina ukweli wowote. Ilani inasema:

1. Kuendesha migomo na Maandamano hata kama hakuna ulazima wa kufanya hivyo;

2. Kupotosha Maendeleo yanayofanywa na Serikali ikiwa ni pamoja na huduma za jamii, mfano Ujenzi wa Shule za Kata na Zahanati;

3. Kuwapaka matope Makada wa Chama tawala wanaoonekana kuwa wasafi kwa vile wanaona wanaweza kuwawekea kauzibe katika Uchaguzi wa mwaka 2015 mfano, Maghufuli, Nape, Salim Ahamed Salim, Asha Rose Migiro, Anne Makinda, Benard Membe na wengine wengi;

4. Kutumia muda mwingi kuvilaumu vyombo vya ulinzi hasa Jeshi la Polisi kwa kutumia maneno ya kashfa kama vile POLISI WAMEUA N.K;

5. Kuwalipa vijana wenye utaalamu na matumizi ya mfumo wa Kompyuta ili waweze kupost kwenye mitandao ya kijamii zikiwemo blogs mbalimbali maneno yenye uongo, uchochezi na kukashfu viongozi ili Serikali ionekane kushindwa kufanya kazi;

6. Kuwatumia Makada wa CCM wanaopinga ufisadi yaani SITTA, MWAKYEMBE, OLESENDEKA, KILANGO na wengine ili kufanya mashambulizi ya waziwazi kwa wale wanaotuhumiwa kwa UFISAD. Yaani wanatumia falsafa ya" DIVIDE AND RULE" ili kuwachonganisha;

7. Kuwahonga Madiwani wa CCM ili kutoa siri za vikao ndani ya CCM;

8. Kupata taarifa za mapema juu ya Miradi inayobuniwa na kutekelezwa na Serikali na kufanya mikutano ya hadhara katika maeneo husika na kuwapotosha wananchi kuwa wao ndiyo wamebuni miradi hiyo na siyo serikali;

9. Kutumia taasisi zisizo za kiserikali kupitia wahisani toka nje kuendesha propaganda kwamba Tanzania haishimu haki za kibinadamu;

10. Kuandaa midahalo kwa kupitia migongo itakayoendeshwa na makada wa Chama hicho kwa kupitia mgongo wa taasisi zisizo za kiserikali na kuwaalika watu wengi wakiwa wanazuoni wanaokiunga mkono CDM n.k

Tutafakari hili jamani, mimi mwenyewe naweza kusema nimeshaanza kuona mbinu hizi chafu, nimesoma gazeti za juzi linasema MAFISADI WAMTEGA MAGHUFULI, siku nyingine niliingia katika tovuti ya U-tube nikakumbana na kitu ambacho kilinishangaza kidogo, Dr. SLAA anaongea na bwana mmoja wa ugaibuni eti alinyang'anywa shamba lake nchini . Dr anasema nchi yetu haifuati haki za binadamu na anamwahidi kuwa akiwa rais atahakikisha shamba lake linarudi.

Ingia you-tube na search A REPRATRIATE'S PLIGHT ujionee .Huyo ndiye kila siku anapigia kelele uzawa?. Wafanya biashara wa kununua Pamba kule Tabora walishawishiwa na CDM wasinunue zao hilo kwa bei elekezi ya Serikali, Shule za kata na zahanati zinabezwa kila siku. Kumbe walishakubaliana hayo ili Nchi isitawalike.
Bei ya David Cameroun yako ni Shilingi ngapi?
 
Thatha, nani kakutuma kufanya siasa za maji taka? Pole sana! maana yaonyesha mtu mwenye akili timamu hawezi kuposti upupu huu, it is as if u were posting this at a gun point!
 
Thatha nakubaliana na wewe kabisa unless haya mavuvuzela yanayopinga yaje na hoja. Otherwise you are wright. Inpendeza sana mtu kupinga kwa hoja. hapa ndo huwa nawaona wanachadema wengi wanafikiria kwa kutumia masaburi. You guys think through upstairs na mjibu hoja kwa hoja na si huu ujinga wenu mnaopost humu. Again, thatha you are wright as I said unless some one aje na vivid examples as you did.
 
Thatha nakubaliana na wewe kabisa unless haya mavuvuzela yanayopinga yaje na hoja. Otherwise you are wright. Inpendeza sana mtu kupinga kwa hoja. hapa ndo huwa nawaona wanachadema wengi wanafikiria kwa kutumia masaburi. You guys think through upstairs na mjibu hoja kwa hoja na si huu ujinga wenu mnaopost humu. Again, thatha you are wright as I said unless some one aje na vivid examples as you did.

nGWENDU...HAPO KWENYE RED..CAN YOU COME AGAIN?
 
JF imekua chombo cha wanaCHADEMA badala ya ufuatiliaji wa kizalendo na uharakati zaidi.

tunawalaumu CCM kuweka uchama mbele zaidi ya uzalendo wa kitaifa na vijana hapa mashabiki wa chadema wanajenga hicho hicho wasichokipenda kutoka upande mwingine, na mwananchi wa kawaida anabaki kudanganyika.

vijana siasa za upofu upofu hazitufikishi popote, huyu Slaa atapata na hatokua tofauti kubwa na CCM na bado mtaendela kulilia na kulalamika ukombozi kamili ni lini wa hii nchi..
 
We magamba huchoki kurudia thread ya kipuuzi kama hii? Hebu nenda kavuliwe gamba na bosi wako Nepi
 
Unatumika vibaya watanzania wameshaichoka CCM kama unabisha fanya utafiti juu ya maisha bora waliyoahidiwa
 
Hebu post picha yako tuone!Nina wasiwasi kama una kichwa!Yaani hao akina nape ndio umewaona masafi?USHAURI:Hata ukitumiwa jitahidi kutumia akili yako vizuri!Mw-hu weeeeee!!!!!!
 
Back
Top Bottom