Age difference

Mwanaume anatakiwa awe ana miaka 2-5 mkubwa kwa mwanamke, kama mnataka kuowana.

Kama mnataka ku sex tu hata mkiwa mmezidiana miaka 50 hakuna noma.
 
Mwanaume anatakiwa awe ana miaka 2-5 mkubwa kwa mwanamke, kama mnataka kuowana.

Kama mnataka ku sex tu hata mkiwa mmezidiana miaka 50 hakuna noma.
Mmoja lazima atakuwa low performer.
 
Mkubwa awe nani?Mwanaume au mwanamke?

Mwanaume, maana uzoefu unaonesha wanaume wanachelewa kumature.

Ila ikiwa mwanaume yu above 30 hata akioa mwanamke wa 45 ni sawa coz hapo mwanaume kesha mature tayari.
 
Mi nona mwanamke maana vibabu vinafiaa sana kwenye magest kumbe kibinti kilimpa kazi ngumu ya kuchungulia wapita njia nje wewe chezea 6x6
 
Umri ni namba tu, mkipendana manwekana ndani acheni uwoga mradi wote kunako bed mnawezana
 
ukishampata mnayependana, piga hesabu uone tofauti ya miaka, kisha tumia hiyo tofauti kupata ujuzi nini cha kufanya.
 
Back
Top Bottom