CalvinPower
JF-Expert Member
- Nov 25, 2008
- 1,571
- 883
Age 40yrs and below wengi wetu hatuoni majina yetu katika vituo vya kupigia kura. tufanyeje?
Andika namba yako iliyoko kwenye kadi ya kupigia kura na utume kwenda 15455,utapata majibu fasta.Kama una line ya zain ndo nimeona inaleta majibu haraka compared to tigo line.
Age 40yrs and below wengi wetu hatuoni majina yetu katika vituo vya kupigia kura. tufanyeje?
Nilimejaribu kupiga sim na kutuma namba yangu ya kitambilisho cha kupitia kura nikaambia nilikufa august 2007. Du hii kweli siielewi mbaya zaidikitambulisho changu kimechakaa sana kiasi kwamba Yale maandishi ya handwriting hayasomeki Bali namba tu ya kadi ambayo ni printed.