Elly B
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 1,194
- 906
Kudai validation ni muhimu sana. Kama unauhakika na kitu ulichofanya huwezi kukwepa validation. Kwa kuwa wanajua walichofanya chumbani ndiyo maana hawakudiriki kutoka barabarani kufanya validation. Ingewaumbua vibaya sana.
Sana mkuu. Ndiyo maana nikasema validation kwa matokeo yenye maswali kama yale ni hatua ya mbali sana.