Stabilaiza
JF-Expert Member
- Jul 11, 2012
- 1,843
- 1,143
Utafiti wa Twaweza siyo credible kwa sababu hawajafanya validation ya findings zao.
Ukweli ni kuwa wakitakiwa wasituke kabla hata ya kutoa matokeo kwa sababu reality kwenye majukwaa haiendani na walichotangaza. Hapa ndipo umuhimu wa validation unapotakiwa.
Hawakufanya hicho, kwa hiyo matokeo yao na invalid. Tofauti na kampeni za CCM, watu wanasombwa na malori wakati wale wa UKAWA wanatumia resources zao.
Mtu hawezi ku-volunteer na kutoa resources kama hakuungi mkono.
Ukweli ni kuwa wakitakiwa wasituke kabla hata ya kutoa matokeo kwa sababu reality kwenye majukwaa haiendani na walichotangaza. Hapa ndipo umuhimu wa validation unapotakiwa.
Hawakufanya hicho, kwa hiyo matokeo yao na invalid. Tofauti na kampeni za CCM, watu wanasombwa na malori wakati wale wa UKAWA wanatumia resources zao.
Mtu hawezi ku-volunteer na kutoa resources kama hakuungi mkono.