Afya za wanafunzi takribani 2,500 zipo hatarini kutokana na ukosefu wa maji kwa zaidi ya siku 21

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Mar 8, 2020
2,205
4,695
Shule ya Msingi Benako haina Maji Wiki Ya 3 baada ya Kukatiwa Maji Na Dawasco kwa deni La 200,000.

Shule hii inapatikana maeneo ya Salasala Kata ya Wazo, Jimboni Kawe Jijini Dar es Salaam.

Taarifa zilizopo ni kuwa muda wa wiki 3 sasa maji shuleni hapo hayapatikani hali inayotishia afya za Wanafunzi takribani 2,500.

Inadaiwa Maji hayo yamekatwa na Mamlaka ya Maji Dar es Salaam ( Dawasco) kutokana na deni a tshs 200,000 tu!

Inadaiwa Uongozi wa Shule hiyo na Kamati ya Shule wanadai wamekatiwa maji kutokana na Serikali kushindwa kuleta fedha kwa wakati.

Hali hii inatishia afya za Wanafunzi na Walimu wa Shule hiyo.

Ni vema Shule hiyo ikafungwa mara ili kuwaepusha Wanafunzi na janga kubwa la maradhi ya kuambukiza kama Kipindupindu & Covid-19

Nashauri Mamlaka husika zilizoshindwa kuwajibika kutatua changamoto hii wakati zichukuliwe hatua.

Ni hatarii

Ni aibu

Ni Fedhea

FB_IMG_16293035410320873.jpg
 
Shule ya Msingi Benako haina Maji Wiki Ya 3 baada ya Kukatiwa Maji Na Dawasco kwa deni La 200,000.

Shule hii inapatikana maeneo ya Salasala Kata ya Wazo, Jimboni Kawe Jijini Dar es Salaam.

Taarifa zilizopo ni kuwa muda wa wiki 3 sasa maji shuleni hapo hayapatikani hali inayotishia afya za Wanafunzi takribani 2,500.

Inadaiwa Maji hayo yamekatwa na Mamlaka ya Maji Dar es Salaam ( Dawasco) kutokana na deni a tshs 200,000 tu!

Inadaiwa Uongozi wa Shule hiyo na Kamati ya Shule wanadai wamekatiwa maji kutokana na Serikali kushindwa kuleta fedha kwa wakati.

Hali hii inatishia afya za Wanafunzi na Walimu wa Shule hiyo.

Ni vema Shule hiyo ikafungwa mara ili kuwaepusha Wanafunzi na janga kubwa la maradhi ya kuambukiza kama Kipindupindu & Covid-19

Nashauri Mamlaka husika zilizoshindwa kuwajibika kutatua changamoto hii wakati zichukuliwe hatua.

Ni hatarii

Ni aibu

Ni Fedhea

View attachment 1897639
Mnashangaa wiki 3 huko mipwapwa Kuna Kijiji chenye shule za msingi na sekondari hukosa maji hata mwaka mzima na watu hawana habari.
 
Mataifa yaliyoendelea watakukatia Umeme ila sio Maji
Maji ni uhai hata uwe unadai kiasi gani hauna haki ya kukata bali kupelekana mahakamani na kuona watalipaje deni

Itungwe sheria ni marufuku kukata maji kwa ajili ya deni
Hao wamekosa ubinadamu kabisa
 
Back
Top Bottom