Afya ya Spika Makinda Utata, adaiwa kulazwa India

Hivi wadau haya majimbo ambayo yapo wazi kwa sasa mbona sisikii tume ikitangaza chaguzi ndogo? Jingine 'Likitokea' Jeee!
Mkku, nadhani Sumbawanga soon litatangazwa coz its within 90days toka hukumu ilipotoka, speaker anaandikia NEC barua kuwa jimbo lipo wazi then, Msajili wa vyama kwa taarifa, ndio tunaingia kwa uchaguzi so haitozidi January 2013! Igunga magamba haijafahamika kama walikata rufaa ama la... Spika anatakiwa Kuijulisha NEC... si unajua nae alivyo dhaifu? mpaka magamba waamue..
All in all HAKI haipotei daima, bali hucheleweshwa...Tutashinda.
 
Hivi ni lini tutathamini huduma za madaktari wetu?
hivi lini tutaboresha hospitali zetu wakati viongozi wa kitaifa wanaenda kutibiwa nje? mbona kenya wameweza kwanini sisi?
kutokana na haya itakuwa rahisi kwa ngamia kupita ktk tundu la sindano kuliko kwa daktari wa kitanzania afanyaye kazi serikalini kuongezewa mshahara chini ya CCM!
 
in parliament since or even before 1978! mamaaaaaaaaa! mpaka leo sasa nafasi yangu ya kuwa spika ni lini? maana kala yangu, na ya watoto wangu! mayo weeeeee!
 
acha mzaha. huyu keshapita menopause.

From Wikipedia, the free encyclopedia
Jump to: navigation, search

Pregnancy over age 50
has become more possible for women, due to recent advances in assisted reproductive technology, in particular egg donation. Typically, a woman's fecundity ends with menopause, which by definition is 12 consecutive months without having had a period. Perimenopause usually begins between ages 40 and 51 and fertility can and often does end at this stage also. This is when the periods become irregular and eventually stop altogether, but even when periods are still regular, the egg quality of women in their forties is typically dramatically lower than in younger women, making the likelihood of conceiving a healthy baby also dramatically lower, particularly after age 42.[SUP][1][/SUP] Men, in contrast, generally remain fertile throughout their lives,[SUP][2][/SUP] although the risk of genetic defects is greatly increased due to the paternal age effect.

In the United States, between 1997 and 1999, 539 births were reported among mothers over age 50, with 194 being over 55.[SUP][3][/SUP] According to statistics from the Human Fertilisation and Embryology Authority, in the Britain, more than 20 babies are born to women over age 50 per year through in-vitro fertilization with the use of donor oocytes (eggs).[SUP][4][/SUP]
Maria del Carmen Bousada de Lara is the oldest verified mother; she was aged 66 years 358 days when she gave birth to twins; she was 130 days older than Adriana Iliescu, who gave birth in 2005 to a baby girl. The children were conceived through IVF with donor eggs.[SUP][5][/SUP] The oldest verified mother to conceive naturally (listed currently in the Guinness Records) is Dawn Brooke (UK); she gave birth to a son at the age of 59 years in 199
 
Get well soon Bi mkubwa,anaogopa sakata la wabunge kutuhumiwa kula rushwa,Ngwilizi kawageuzia kibao prof muhongo na maswi.

Pamoja na kwamba simuamini sana, lakini mzee SIX alifaa kuendelea na kile kiti walau kwa miaka mitano mingine
 
mungu wa majeshi tunaomba mkono wako uwe juu yetu. Utubariki kwa mapenzi yako bwana.

Nguvu za shetani, majini na yote yakuchukizayo wewe bwana, yashindwe kwa jina la yesu kristo!

Viongozi walio wagumu na watendayo kinyume na matakwa yako washindwe kwa jina la yesu.

Angalia bwana, wanashindwa na hawataki kufanya mazuri hapa, wakitegemea kuyapata nje kwa kutumia ukiburi walionao.

Ikiwezekana bwana fanya kama upendavyo kutuepusha nao kwa njia upendayo bwana.

Amen
 
Ili nalo ni la kuliingiza kwenye katiba ni marufuku kiongozi wa nchi kwenda kutibiwa nje unless nimkwa gharama zake au tiba ya huo ugonjwa haipo Tz
Ivi check up unaenda India alafu kodi uangu inatumika ku.........nina
 
muhimbili ni zahanati kwa viongozi wetu, zina wataalam wenye hadhi ya waganga wasaidizi, na zina vifaa tiba hafifu kama maduka bandia, na dawa za viwango vya chini kama arv za tpi.
 
mungu wa majeshi tunaomba mkono wako uwe juu yetu. Utubariki kwa mapenzi yako bwana.

Nguvu za shetani, majini na yote yakuchukizayo wewe bwana, yashindwe kwa jina la yesu kristo!

Viongozi walio wagumu na watendayo kinyume na matakwa yako washindwe kwa jina la yesu.

Angalia bwana, wanashindwa na hawataki kufanya mazuri hapa, wakitegemea kuyapata nje kwa kutumia ukiburi walionao.

Ikiwezekana bwana fanya kama upendavyo kutuepusha nao kwa njia upendayo bwana.

Amen
Duh...wee jamaa wewe!
 
Dont worry my fellow country men. We can always manage without her!
 
kizazi cha hawa viongozi wetu hakina aibu wala hakiwezi kututoa kwenye fikra potofu. Kinaabudu sana kila kitu nje! Hivi wanajisikiaje wakiwa wanaenda kutibiwa nje wakati kuna wataalamu kibao nchini? Na je watajisikiaje siku watakapokuwa kando ya uongozi harafu magonjwa yao yote waliyokuwa wanatibiwa nje yataakuwa yanatibiwa nchini pengine kwa gharama nafuu zaidi kuliko huko nje? Ndiyo maana wanaiba pesa, na badala ya kufungua miradi angalau iwaajiri watanzia wengine, wao wanapeleka uswisi pesa bila kujua wanadidmiza uchumi wa nchi yetu kwa kuzuia mzunguko wa pesa.


kweli matatizo tunayopata tanzania kwa sasa ni kutokana na akili za viongozi wetu...ili kumaliza matatizo haya, lazima kizazi hiki kiondoke ktk uongozi...la sivyo tunaugua sisi raia hapa tz, wanatibiwa wao nje' ...mbona makinda ni sample tuu?? Wengine mfano 'ba mkubwa' trip za nje kibao...huenda wanaendaga kufanya 're-fueling' kubwa!!
 
Back
Top Bottom