Kuna mengi yamejificha nyuma ya pazia ila kwa sababu nchi yetu inaishi kwa kufichiana aibu hasa watu wanaodhani kuna maslahi yao yanaguswa basi hakuna wa kufungua kinywa.
Tuseme kwamba Mwakyusa alikuwa amekwama kufanikisha matarajio fulani ndo maana hakuwekwa barazani
Is it malaria project? Coz aliyepewa hiyo wizara ni zao la mradi wa Malaria na alitamba jimboni kwamba kwake kazi ngumu ni ubunge ila alikuwa ana uhakika wa uwaziri wa afya na imetimia. Na ndio maana alipata ushindi wa kumchakachua mzee wake Prof.melchiory mlambiti
lakini mwakyusa alikuwa bado hajachoka kiivyo alistaili kuwa waziri wa afya,coz kuwa na mengi yaliyojificha nyuma ya pazia ndoamaana unaona kimyakimya wanauwa mmoja baada ya mmoja(hasa ndo kilichomkost jirani kupata uwaziri baada ya kauli yake hiyo)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.