Afya ya Dr. Idrisa Rashid Aliye kuwa Gavana ni ??

Hasara

Senior Member
Dec 29, 2006
138
9
Afya ya Dr. Idrisa Rashid aliyekuwa Gavana BoT ni mbaya? anaumwa nini? na mke wake wa pili alikufa na nini? na sasa nimesikia ana mke wa kiarabu kama wa mshika dau.
mwenye data anipe hapa.
 
Afya ya Dr. Idrisa Rashid aliyekuwa Gavana BoT ni mbaya? anaumwa nini? na mke wake wa pili alikufa na nini? na sasa nimesikia ana mke wa kiarabu kama wa mshika dau.
mwenye data anipe hapa.

Kazi yake anaifanya au haifanyi? kama anaifanya kazi yake hata angekuwa na wake 100 i wont mind
 
Wizara ya afya inatuambia kiujumla watu 7 katika kila 100 hapo Bongo wana ngoma, na hii inatofautiana sehemu hadi sehemu. Dar nasikia ni 12%, na huko Makete inafika hadi 16%. Sasa katika nchi yenye watu zaidi ya milioni 35, tukianza kuorodhesha majina ya wenye "ngoma" hatutamaliza leo. Humuhumu JF inawezekana wamo kibao wenye hiyo kitu, mnabisha? Sasa kwa kuwa "ngoma" imeshakuwa sehemu ya maisha yetu (tumeshaizoea, tunazika sana, na hata ukienda clinic ya hiyo kitu kufuatilia dawa zako utakuta wenzio wengi tu), tukate ishu zilizoko mbele yetu kwa sasa. Tuachane na habari ya kuorodhesha sijui nani mkewe alikufa kwa kukonda sana, maana hiyo itakuwa udaku tu!
 
Wizara ya afya inatuambia kiujumla watu 7 katika kila 100 hapo Bongo wana ngoma, na hii inatofautiana sehemu hadi sehemu. Dar nasikia ni 12%, na huko Makete inafika hadi 16%. Sasa katika nchi yenye watu zaidi ya milioni 35, tukianza kuorodhesha majina ya wenye "ngoma" hatutamaliza leo. Humuhumu JF inawezekana wamo kibao wenye hiyo kitu, mnabisha? Sasa kwa kuwa "ngoma" imeshakuwa sehemu ya maisha yetu (tumeshaizoea, tunazika sana, na hata ukienda clinic ya hiyo kitu kufuatilia dawa zako utakuta wenzio wengi tu), tukate ishu zilizoko mbele yetu kwa sasa. Tuachane na habari ya kuorodhesha sijui nani mkewe alikufa kwa kukonda sana, maana hiyo itakuwa udaku tu!

Kithuku:
Wacha bwana, kama statistics hizo ni kweli, basi tumekwisha. Yaani una maana wenzetu million mbili na nusu hivi pale nyumbani tayari ni waathirika. Na tukichukulia mahesabu aliyotuwekea Bw. Robot hapa JF juzijuzi; tayari wana JF hapa 10,000 wamo. Looo, nenda kapime haraka, ni hatari hiyo.
 
Statistics hizo ni za kweli, tena hizo zina miaka 2, inawezekana sasa hivi hali ni mbaya zaidi. Ripoti kamili hii hapa: [media]http://www.tgpsh.or.tz/fileadmin/uploads/docs/THIS_FINAL_2005.pdf[/media]
 
...nafikiri kuongea na kutaja jina la mtu na anaumwa ugonjwa gani bila idhini yake sio ustaarabu na ni vizuri tukiacha hiyo tabia na kuhusu HIV ni vizuri kuiongelea maana ni tatizo kubwa kuliko wengi wanavyojua na serious watu wanakufa kweli na huo ugonjwa lakini sio kuanza kutaja majina ya watu.
 
Kithuku:
Wacha bwana, kama statistics hizo ni kweli, basi tumekwisha. Yaani una maana wenzetu million mbili na nusu hivi pale nyumbani tayari ni waathirika. Na tukichukulia mahesabu aliyotuwekea Bw. Robot hapa JF juzijuzi; tayari wana JF hapa 10,000 wamo. Looo, nenda kapime haraka, ni hatari hiyo.

Ni sawa anayosema Bw Kithuku, National HIV prevalence hapa Tanzania ni 7%, sasa unaweza kukukotoa kwa taifa zima. Nchi nyingine kusini kwa Afrika: Botswana, Swaziland, Lesotho na hasa South Africa, prevalence iko kati 20-30%.
 
Kuna watu wana unayanyapa humu nini ?

Mimi nachofahamu Idrisa atakuwa na maadui wengi tu kutokana na msimamo wake,Baadhi ya maadui wake ni
1. Viongozi wa chama cha wafanyakazia Tuico -Tanesco kwa kuwa amewakatia mirija aya Ulaji wao
2.viongozi wa Tanesco waliokuwa wamezoea kula kufyonza Tanesco bila huruma

3.Wanaboard na watu wao wa karibu

4. Wananchi amboa wanadhani kubada kwa bei ya umeme kunasababisha na Dr Idrisa wala sio makosa ya Serikali ya kulibebesha mzigo shirika hilo mzigo wa malipo kwa ajili ya Capacity Charge kwa wazalisha umeme wa dharura .

Hao maadui wanaweza kusema chochote hapa
 
Mnampa sifa za bure huyo Idrisa, kama anaweza kazi basi atupatie meter zetu ambazo tumelipia miezi zaidi ya sita.


Mwambieni kuna Watanzania wengi tu pesa zao zimechukuliwa kulipia huduma ambayo mpaka sasa miezi inapita hakuna kitu. Yeye
anaona madai ni upande mmoja tu?

Hana tofauti na waliomtangulia, anapoteza muda kugombana na wateja wakubwa huku Tanesco inaendelea kuwanyanyasa wateja wadogo?
 
Kuna watu wana unayanyapa humu nini ?

Mimi nachofahamu Idrisa atakuwa na maadui wengi tu kutokana na msimamo wake,Baadhi ya maadui wake ni
1. Viongozi wa chama cha wafanyakazia Tuico -Tanesco kwa kuwa amewakatia mirija aya Ulaji wao
2.viongozi wa Tanesco waliokuwa wamezoea kula kufyonza Tanesco bila huruma

3.Wanaboard na watu wao wa karibu

4. Wananchi amboa wanadhani kubada kwa bei ya umeme kunasababisha na Dr Idrisa wala sio makosa ya Serikali ya kulibebesha mzigo shirika hilo mzigo wa malipo kwa ajili ya Capacity Charge kwa wazalisha umeme wa dharura .

Hao maadui wanaweza kusema chochote hapa


na hii nayo;

Re: Afya ya Dr. Idrisa Rashid Aliye kuwa Gavana ni ??

--------------------------------------------------------------------------------

Mnampa sifa za bure huyo Idrisa, kama anaweza kazi basi atupatie meter zetu ambazo tumelipia miezi zaidi ya sita.


Mwambieni kuna Watanzania wengi tu pesa zao zimechukuliwa kulipia huduma ambayo mpaka sasa miezi inapita hakuna kitu. Yeye
anaona madai ni upande mmoja tu?

Hana tofauti na waliomtangulia, anapoteza muda kugombana na wateja wakubwa huku Tanesco inaendelea kuwanyanyasa wateja wadogo?


wandugu tupime kwa makini inaweza ikawa watu ni kweli mnachafuana humu,bila ya sisi wadau kufahamu
 
Kuna watu wana unayanyapa humu nini ?

Mimi nachofahamu Idrisa atakuwa na maadui wengi tu kutokana na msimamo wake,Baadhi ya maadui wake ni
1. Viongozi wa chama cha wafanyakazia Tuico -Tanesco kwa kuwa amewakatia mirija aya Ulaji wao
2.viongozi wa Tanesco waliokuwa wamezoea kula kufyonza Tanesco bila huruma

3.Wanaboard na watu wao wa karibu

4. Wananchi amboa wanadhani kubada kwa bei ya umeme kunasababisha na Dr Idrisa wala sio makosa ya Serikali ya kulibebesha mzigo shirika hilo mzigo wa malipo kwa ajili ya Capacity Charge kwa wazalisha umeme wa dharura .

Hao maadui wanaweza kusema chochote hapa
Reply With Quote

Usemayo ni sahihi kabisa kwamba Dr Rashidi ana maadui wengi, lakini kwa wafanyakazi nadhani wengi wanamuamini ila anachoharibu yeye haamini mtu na huwezi kufanya kazi bila kuamini hata mtu mmoja, maana yake ni kwamba hata nyumbani kwako inabidi ushirikishe familia yako kwa mambo fulani fulani. Sasa ataendeshaje shirika peke yake?

Kuhusu kuumwa kwake, nadhani si sahihi kuzungumzia anaumwa nini (tena bila ushahidi wa daktari) lakini ni sahihi kabisa kujua kama kweli anaumwa na amelazwa ama amezidiwa ama yuko nje kwa matibabu, kwa sababu tayari ameshakua public figure na wananchi wana haki ya kujua hali yake, kwani kama ulikwishasema ana maadui wanaweza hata kumdhuru kama hatutafuatilia hali yake. Mwenye kujua hali yake na alipo atueleze maana hayupo ofisini kwa karibu wiki mbili sasa
 
Kuna watu fulani hawataki kabisa kutumia condom halafu hawataki kuacha kuserebuka, hapo itakuwa ngumu kukwepa hawa wadudu!
 
Kitila,

Unaweza kufafanua causal relationship ya hii quotation?

"Kuna uhusiano mkubwa kati ya kuipenda sana CCM na kukithiri kwa umaskini"
 
na hii nayo;

Re: Afya ya Dr. Idrisa Rashid Aliye kuwa Gavana ni ??

--------------------------------------------------------------------------------

Mnampa sifa za bure huyo Idrisa, kama anaweza kazi basi atupatie meter zetu ambazo tumelipia miezi zaidi ya sita.


Mwambieni kuna Watanzania wengi tu pesa zao zimechukuliwa kulipia huduma ambayo mpaka sasa miezi inapita hakuna kitu. Yeye
anaona madai ni upande mmoja tu?

Hana tofauti na waliomtangulia, anapoteza muda kugombana na wateja wakubwa huku Tanesco inaendelea kuwanyanyasa wateja wadogo?


wandugu tupime kwa makini inaweza ikawa watu ni kweli mnachafuana humu,bila ya sisi wadau kufahamu

Sanda Matuta,

Uliona wapi mtu unamchafua mtu mwingine kwa kudai kilicho chako?

Tanesco wanadaiwa na wananchi wengi tu hasa kwenye meter lakini hilo hawalisemi na wanasema wale tu ambao wao wanawadai.
 
bado tunafikira za kale,kufichaficha mambo hata ya kijinga,et kila kitu ni haki ya mtu.tukisema kweli siku zote tutapiga hatua hata kama ukweli huo unauma kwa kiasi gani,watanzania tumekuwa waongo hata pale pasipo sitahili bila kuwa na sababu za msingi.
Siku zote ukitaka kummaliza nguvu adui yako mwambie ukweli hatakosa la kusema.sijaona viongozi wa kweli mpaka sasa huyo idrisa hanatofauti na balali,mkapa,chenge,jk,el,mudhihiri,kingunge,na wengine wanaofanana kwa sura
 
Back
Top Bottom