bado tunafikira za kale,kufichaficha mambo hata ya kijinga,et kila kitu ni haki ya mtu.tukisema kweli siku zote tutapiga hatua hata kama ukweli huo unauma kwa kiasi gani,watanzania tumekuwa waongo hata pale pasipo sitahili bila kuwa na sababu za msingi.
Siku zote ukitaka kummaliza nguvu adui yako mwambie ukweli hatakosa la kusema.sijaona viongozi wa kweli mpaka sasa huyo idrisa hanatofauti na balali,mkapa,chenge,jk,el,mudhihiri,kingunge,na wengine wanaofanana kwa sura
Kuna jamaa alitangaza kwenye msiba wa ndugu yake kwamba kafa kwa AIDS, ndugu walimtenga. Bahati nzuri jamaa hakukata tamaa na sasa
kapunguza athari za AIDS kwa ndugu zake through kuongea wazi wazi na kupeana ushauri.
Ujinga wetu ndio unatumaliza, matokeo yake, mtu anajua kabisa yule bwana au yule dada bwanake/mke wake kafa kwa AIDS lakini wao wamo tu kujimwaga nao. Labda tuanze kusema bila kuona aibu kama mtu kafa kwa AIDS ili kuokoa wanaobaki.