Afya Njema; Mafanikio Na Utajiri - Maswali Na Majibu Kwa Kila Mtu

Jul 14, 2008
1,820
1,031
Je ungependa kupata mawazo chaya juu ya mambo mbalimbali yanayohusu mafanikio katika maisha, biashara, afya kama kupata nafuu au kupona katika matatizo yako mbalimbali ya afya yako ya mwili na akili, n.k? Unaweza kutembelea: www.mtsimbe.blogspot.com au kutuandikia mtsimbe@gmail.com ni tatizo gani au topic ungependa tuiongelee na tutajitahidi kupata information kutoka sehemu mbalimbali.

Sasa hivi kuna information zinazohusu namna rahisi unavyoweza kutatua matatizo yako ya kiafya na akili kwa njia rahisi ukitumia vyakula na viungo ulivyonavyo nyumbani.
Information zilizopo sasa hivi zinahusu matatizo ya:

1. Aches & Pains;
2. Beauty & Wellness
3. Diabetes
4. Digestive Disorders
5. Ear, Nose & Throat
6. Eyes
7. Hair
8. Heart
9. Infections & Allergies
10. Kidneys
11. Liver
12. Lungs
13. Mental & Neuro
14. Oral Health
15. Sexual Disorders
16. Skin
17. Sleep Disorders
18. Urinary Problems
19. Women's Health

Information hizi zinazingatia njia za nyumbani na za asili ambazo unaweza kuzitumia.

Tahadhari: Tafadhali sana wasiliana na Daktari wako kama una wasiwasi na vyakula vilivyoelezewa ili kujihakikishia kuwa hutapata madhara yoyote.

Katika blog ya: www.mtsimbe.blogspot.com sasa hivi kuna information zifuatazo:

1. Je Jogoo Wako Hapandi Mtungi?
2. Je, Unapoteza Kumbukumbu?.
3. Je, Ungependa Kuondoa Michirizi Katika Ngozi?
4. Jinsi Ya Kufanya Meno Yawe Meupe
5. Jinsi Ya Kuondoa Makunyanzi Ya Ngozi
6. Jinsi Ya Kufanya Matiti Yasimame (Yasilale)
7. Jinsi Ya Kuondoa Nywele Usoni
8. Je, Ungependa Kuwa Na Matiti Makubwa?
9. Je Macho Yako Hayaoni Vizuri?
10. Je, Una High Blood Pressure?
11. Je Una Allergies Na Kitu Chochote?
12. Jinsi Ya Kuondoa Vipele Vya Kunyoa Ndevu
13. Jinsi Ya Kuondoa Chunusi Usoni
14. Je Wewe Unakoroma Usiku Na Ungependa Uache?
15. DVD: Jinsi Ya Kupunguza Unene Na Kitambi
 
Je ungependa kupata mawazo chaya juu ya mambo mbalimbali yanayohusu mafanikio katika maisha, biashara, afya kama kupata nafuu au kupona katika matatizo yako mbalimbali ya afya yako ya mwili na akili, n.k? Unaweza kutembelea: www.mtsimbe.blogspot.com au kutuandikia mtsimbe@gmail.com ni tatizo gani au topic ungependa tuiongelee na tutajitahidi kupata information kutoka sehemu mbalimbali.

Sasa hivi kuna information zinazohusu namna rahisi unavyoweza kutatua matatizo yako ya kiafya na akili kwa njia rahisi ukitumia vyakula na viungo ulivyonavyo nyumbani.
Information zilizopo sasa hivi zinahusu matatizo ya:

1. Aches & Pains;
2. Beauty & Wellness
3. Diabetes
4. Digestive Disorders
5. Ear, Nose & Throat
6. Eyes
7. Hair
8. Heart
9. Infections & Allergies
10. Kidneys
11. Liver
12. Lungs
13. Mental & Neuro
14. Oral Health
15. Sexual Disorders
16. Skin
17. Sleep Disorders
18. Urinary Problems
19. Women's Health

Information hizi zinazingatia njia za nyumbani na za asili ambazo unaweza kuzitumia.

Tahadhari: Tafadhali sana wasiliana na Daktari wako kama una wasiwasi na vyakula vilivyoelezewa ili kujihakikishia kuwa hutapata madhara yoyote.


Katika blog ya: www.mtsimbe.blogspot.com sasa hivi kuna information zifuatazo:

1. Je Jogoo Wako Hapandi Mtungi?
2. Je, Unapoteza Kumbukumbu?.
3. Je, Ungependa Kuondoa Michirizi Katika Ngozi?
4. Jinsi Ya Kufanya Meno Yawe Meupe
5. Jinsi Ya Kuondoa Makunyanzi Ya Ngozi
6. Jinsi Ya Kufanya Matiti Yasimame (Yasilale)
7. Jinsi Ya Kuondoa Nywele Usoni
8. Je, Ungependa Kuwa Na Matiti Makubwa?
9. Je Macho Yako Hayaoni Vizuri?
10. Je, Una High Blood Pressure?
11. Je Una Allergies Na Kitu Chochote?
12. Jinsi Ya Kuondoa Vipele Vya Kunyoa Ndevu
13. Jinsi Ya Kuondoa Chunusi Usoni
14. Je Wewe Unakoroma Usiku Na Ungependa Uache?
15. DVD: Jinsi Ya Kupunguza Unene Na Kitambi
Kwa maoni yangu, a deserving farewell kwa member wetu yoyote, aliyetangulia mbele ya haki ni kumuaga kupitia maandishi yake, threads zake ili kujikumbusha mawazo yake, maneno yake na matendo yake tukiendelea kuishi Tribute to Sanctus Mtsimbe: Sio tu ni smart kwa mavazi na muonekano, pia ni smart kwa mawazo, maneno, na matendo, na very smart upstairs!

RIP Comred Santus Mtsimbe, maandishi yako humu JF, yatakuishi milele!.

Umepigana vita vilivyo Vitakatifu,
Mwendo Umeumaliza, Imani umeilinda.

Bwana Ameleta, Bwana Ametwaa, Jina Lake Lihimidiwe!.

Paskali
 
Back
Top Bottom