Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina maana mpaka sasa hajafanywa chochote? Na wewe ba mkubwa umetulia tu hujaenda hata kujua mtoto ana hali gani?mkuu nashindwa hata kwenda kwake kumuona maana naona ntakufa nkiwa njiani!!!
Kwani ikitokea amekufa hao watoto wataishije? Yaani mmuache aendelee kuharibu na kuumiza watoto kwa malipo ya ugali anaowapa?Thanks mkuu, ila please give me the way forward regarding the fate of this family, akifungwa hii familia itaendelea vipi? ie shule kwa watoto, chakula etc....!
Kwani ikitokea amekufa hao watoto wataishije? Yaani mmuache aendelee kuharibu na kuumiza watoto kwa malipo ya ugali anaowapa?
Hebu think big baba mkubwa!
Peleka ndani hilo balaa mkewe mpeni mtaji watoto wataishi tu,mbona watu tumezika waume zetu na watoto wetu hawajafa? Mama yao atajua wataishije hao wanae,Ng'ombe halemewi na nundu yake!!!!
Hapo umefanya ambalo mama wa mtoto alitegemea ufanye alipokuwa anakupigia simu!!Thanks a lot mkuu! Hivi ss nipo kituo cha polis na mtoto tunaandikisha maelezo, kufuatia maoni ya wadau wengi humu jamvini kunishauri nifanye hivyo....!
Hapo umefanya ambalo mama wa mtoto alitegemea ufanye alipokuwa anakupigia simu!!
Hakikisha sheria inachukua mkondo wake maana issue hizi hamkawii kukaa kama familia mkaamua aonywe tu!
Mtoto apate tiba stahiki asije akaishia kuwa shoga kwa sababu ya balaa la mtu mmoja!!!!
mpimeni na mtoto kujua kama hajapewa ngoma.
Thanks mkuu, ila please give me the way forward regarding the fate of this family, akifungwa hii familia itaendelea vipi? ie shule kwa watoto, chakula etc....!
Thanks a lot mkuu! Hivi ss nipo kituo cha polis na mtoto tunaandikisha maelezo, kufuatia maoni ya wadau wengi humu jamvini kunishauri nifanye hivyo....!
Thanks mkuu, ila please give me the way forward regarding the fate of this family, akifungwa hii familia itaendelea vipi? ie shule kwa watoto, chakula etc....!
Thanks mkuu, ila please give me the way forward regarding the fate of this family, akifungwa hii familia itaendelea vipi? ie shule kwa watoto, chakula etc....!