Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu nipeni pole maana kijana anayenifuata nimeambiwa na mkewe kwamba jana kamlawiti mwanae wa kiume wa kumzaa!!!!! Mbaya zaidi ni first born wake!!! nimechanganyikiwa; where to start???? Please help......
Wakuu nipeni pole maana kijana anayenifuata nimeambiwa na mkewe kwamba jana kamlawiti mwanae wa kiume wa kumzaa!!!!! Mbaya zaidi ni first born wake!!! nimechanganyikiwa; where to start???? Please help......
Apigwe tu, hata kuuawa ni bora
kifungo cha maisha kama aliyelawitiwa ni mtoto kama unavyoeleza. bofya hapa, kitabu hiki kimeeelezea kwa ufasaha kabisa makosa ya kinyume na maumbile na ubakaji wa kawaida, pamoja na haki katika ndoa n.k. kinajumuisha mambo mengi sana. unnatural offence ni kosa kubwa ambalo hata Bible inalijua. bofya hapa SHERIA KWA KISWAHILI
View attachment 125213
Labda ipo kwenye damu..mwombeni Mungu nawe yasikutokee. Kuhusu huyo kijeba, toa taarifa polisi ili hatua stahiki zichukuliwe dhidi yake.
huyo ni mdogo wako kwa lugha nyepesi!!
Mfungulie mashtaka kama umethibitisha yeye kuhusika na tukio hilo kuliko kumchukulia sheria mikononi!!
Mkuu naomba niweke vizuri uzito wa hili swala; mkewe ni mzazi kama wa siku kumi na kitu!!! Je akifungwa maisha, hii familia yake nani ataitunza???
Hii issue ni serious, sio ya kuchukukulia juu juu. Issue ya kumbaka mwanae wa kumzaa, tena wa kiume haivumiliki. Leo amembaka mtoto, je kesho akimchinja? Bado utaendelea kusita kuchukua hatua kwa hofu ya nani atalea familia yake..? Come'n..
Wakuu nipeni pole maana kijana anayenifuata nimeambiwa na mkewe kwamba jana kamlawiti mwanae wa kiume wa kumzaa!!!!! Mbaya zaidi ni first born wake!!! nimechanganyikiwa; where to start???? Please help......
Mpeleke polisi fasta na mtoto apelekwe hospitali haraka sana. Tena aptiwe mtaalam maana huyo atapata "trauma" kubwa sana msipoangalia.