Kwa nchi nyingine au dini nyingine au jamii nyingine zinacomplicate maisha .maisha ni simple lakini wanacomplicate mara kutoendesha magari,mara kuvaa nguo nyeusi.Mungu alitupa akili na utashi wa kusimplify maisha yetu dunian.watu wengine wanacomplicate.rubish
Sent using Jamii Forums mobile app
Uislamu ni dini iliyokamilika, haya ni baadhi tu ya mambo ambayo uislamu umechambua kuwa havifai kwa wale ambao si wanandoa ili kujenga maadili ya kuondoa matamanio ambayo kwa mujibu sheria zetu za kiislamu zimekataza.
Nadhani ukija upande wa pili wa dini za kikiristo na nyengine utakuta hakuna fatwa zozote juu ya mambo kama haya na ni udhaifu mkubwa na ndio mana ukiristo tunaitilia shaka sana.