X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,610
- 1,809
Yaani yeye na wewe, vipi anakumalizia utamu nini!? Ah ah ah ah ah.kuna mtu more than 4 hrs namuona yupo kweney hii thread .. anachukau stim sijui hahaha
Yaani yeye na wewe, vipi anakumalizia utamu nini!? Ah ah ah ah ah.kuna mtu more than 4 hrs namuona yupo kweney hii thread .. anachukau stim sijui hahaha
hahahah!! im jelous...kila nikienda nikirudi namkuta huyu bibie yupo online hapo chini kweye hii thread .. ahahahahahaYaani yeye na wewe, vipi anakumalizia utamu nini!? Ah ah ah ah ah.
Ah ah ah ah, labda mpare-stina, anakunywa chai kwa kutazamia.hahahah!! im jelous...kila nikienda nikirudi namkuta huyu bibie yupo online hapo chini kweye hii thread .. ahahahahaha
yupo hata sasa hivi Salma osman .........
kuna mtu more than 4 hrs namuona yupo kweney hii thread .. anachukau stim sijui hahaha
hata weweHapo hata wewe mate yanakudondoka!
Fungua kwanza mdomoDa alafu baafa ya mlo kama huu nikipata konyagi,tonic na barafu lazima nijione nipo mawinguni
huyo hapo pembeni ya samaki ni mdudu pua fupi??
Hisani ya Maggid Mjengwa.
lizzy ninunulie hii kituHao wanaitwa ngisi, sio mdudupua fupi, ni mmoja kati ya samaki watamu sana asiekuwa na miba.......! supu yake ni moja kati ya viagra nzuri tu baada ya samaki pweza......!