After Mkulo's Crisis Meeting BOT 3 Key policies to rescue Shillings

Tropical,
Hilo la kurudi ktk dhahabu haliwezekani kwa sababu hawa wanaotawala uchumi wa dunia hawana hizo dhahabu, hawawezi kuwa upande wa wahitaji ama wanunuzi isipokuwa siku zote wao wanataka kuwa main supplier, mengine yote yanajipanga nyuma yao.

Sisi ni wahitaji leo zaidi ya wakati wowote ule uliopita na kibaya zaidi ni wahitaji wa mambo yasiyokuwa muhimu wakati hatuna investment za kutosheleza..Hata wewe kama unamahitaji makubwa nyumbani kwako say matuimizi yao ni 100,000 lakini kipato chako ni ni 50,000 utahitaji kukopa 50,000 ili ujitosheleze ktk matumizi. Na kama hutafikiria jinsi ya kuongeza kipato chako, ati mkopo unauchukua ni kwa ajili ya suti na kujirusha Nyumbani Lounge huwezi kutegemea maisha ya mke na watoto nyumbani yatakuwa safi tu maadam fedha iko hata kama ni ya mkopo, tutakopa..

Hii ndio Tanzania yetu mkuu wangu, tunaagiza kuliko uzalishaji na tunapokopa hatuwekezi ktk vyanzo vya uzalishaji au kukuza uchumi bali tunajirusha zaidi. Matumizi yetu makubwa yapo ktk maswala ambayo sio muhimu kabisa wala hayahusiani na kukuza uchumi, madeni ndio madeni afadhali ya hao Marekani wanakopa lakini uwezo wanao wa kulipa isipokuwa hawataki kulipa zote kwa sababu fedha zinahitajika zaidi ktk kukuza zaidi uchumi wao.

Kama vile wewe umekopesha fedha na kuzitumia kama mtaji wa biashara na hulipi bank mkopo wate isipokuwa unaendelea kuzungusha fedha yao kama ongezeko la mtaji...Na ndio hali ya matajiri wengi sana kwamba wana madeni makubwa lakini hayo madeni yapo ktk mtaji na wamewekeza ktk uzalishaji na kukuza biashara zao wakilipa mkopo taratibu, hali hiyo huikuti kwa maskini ambaye anakopa ili kujikimu na matatizo ya kifamilia..
 
Tropical,
Hilo la kurudi ktk dhahabu haliwezekani kwa sababu hawa wanaotawala uchumi wa dunia hawana hizo dhahabu, hawawezi kuwa upande wa wahitaji ama wanunuzi isipokuwa siku zote wao wanataka kuwa main supplier, mengine yote yanajipanga nyuma yao.

Sisi ni wahitaji leo zaidi ya wakati wowote ule uliopita na kibaya zaidi ni wahitaji wa mambo yasiyokuwa muhimu wakati hatuna investment za kutosheleza..Hata wewe kama unamahitaji makubwa nyumbani kwako say matuimizi yao ni 100,000 lakini kipato chako ni ni 50,000 utahitaji kukopa 50,000 ili ujitosheleze ktk matumizi. Na kama hutafikiria jinsi ya kuongeza kipato chako, ati mkopo unauchukua ni kwa ajili ya suti na kujirusha Nyumbani Lounge huwezi kutegemea maisha ya mke na watoto nyumbani yatakuwa safi tu maadam fedha iko hata kama ni ya mkopo, tutakopa..

Hii ndio Tanzania yetu mkuu wangu, tunaagiza kuliko uzalishaji na tunapokopa hatuwekezi ktk vyanzo vya uzalishaji au kukuza uchumi bali tunajirusha zaidi. Matumizi yetu makubwa yapo ktk maswala ambayo sio muhimu kabisa wala hayahusiani na kukuza uchumi, madeni ndio madeni afadhali ya hao Marekani wanakopa lakini uwezo wanao wa kulipa isipokuwa hawataki kulipa zote kwa sababu fedha zinahitajika zaidi ktk kukuza zaidi uchumi wao.

Kama vile wewe umekopesha fedha na kuzitumia kama mtaji wa biashara na hulipi bank mkopo wate isipokuwa unaendelea kuzungusha fedha yao kama ongezeko la mtaji...Na ndio hali ya matajiri wengi sana kwamba wana madeni makubwa lakini hayo madeni yapo ktk mtaji na wamewekeza ktk uzalishaji na kukuza biashara zao wakilipa mkopo taratibu, hali hiyo huikuti kwa maskini ambaye anakopa ili kujikimu na matatizo ya kifamilia..

Mkuu hapo ndipo tunapo differ..yaani unasema outright kwamba haiwezekani..why?

Mkuu nimeweka thinking thought "lini pesa ilishawahi kupanda thamani tangu wa print shillingi ya kwanza Tanzania? or rather hata merakani lini? hakuna nimefuatilia historia za fedha nimeona kila siku fedha imekuwa ikishuka tangu walipo print ile shillingi/dollar ya kwanza na itakuwa hivyo kwasababu ni paper money (hazina value); banki wana print tu..kila wakiona kuna demand!

Demand zetu (mahitaji yetu yote) ni creation of the banks kuanzia IMF<WB na hata benki kuu..

Hakuna mahitaji ya maana zote ni illusion created by money producers..
 
SeanMaloneRiseFallDollarLarge.jpg
 
Mkuu hapo ndipo tunapo differ..yaani unasema outright kwamba haiwezekani..why?

Mkuu nimeweka thinking thought "lini pesa ilishawahi kupanda thamani tangu wa print shillingi ya kwanza Tanzania? or rather hata merakani lini? hakuna nimefuatilia historia za fedha nimeona kila siku fedha imekuwa ikishuka tangu walipo print ile shillingi/dollar ya kwanza na itakuwa hivyo kwasababu ni paper money (hazina value); banki wana print tu..kila wakiona kuna demand!

Demand zetu (mahitaji yetu yote) ni creation of the banks kuanzia IMF<WB na hata benki kuu..

Hakuna mahitaji ya maana zote ni illusion created by money producers..
Haiwezekani kwa sababu ni hulka ya binadamu kuthamini chake kwanza... Hawa wazungu hawana control ya Gold leo tofauti na enzi zile wakitutawala. Kuhusu paper money hakuna msomi au mchumi yeyote mwenye akili timamu analiunga mkono lakini who dare kuthaminisha kitu usichokuwa nacho zaidi ya kile ulokuwa nacho.
-Haiwezekani kwa sababu maamuzi ya kurudia dhahabu hatunayo sisi isipokuwa asilimia 1 ya wale walioshika uchumi wa dunia..
-Haiwezekani kwa sababu dunia ina matatizo mengi sana yatokanayo na papermoney kuthaminishwa lakini ndio inatupa raha zote za matamanio ya binadamu. Dhahabu ni sawa na biblia na Ulokole, ni wangapi wataacha kufuata maswala ya dunia wakachukua ya Mungu ikiwa tunatawaliwa na matamanio ya kidunia..
-Ukweli wa kutowezekana umesimama hapo mkuu wangu..
 
Haiwezekani kwa sababu ni hulka ya binadamu kuthamini chake kwanza... Hawa wazungu hawana control ya Gold leo tofauti na enzi zile wakitutawala. Kuhusu paper money hakuna msomi au mchumi yeyote mwenye akili timamu analiunga mkono lakini who dare kuthaminisha kitu usichokuwa nacho zaidi ya kile ulokuwa nacho.
-Haiwezekani kwa sababu maamuzi ya kurudia dhahabu hatunayo sisi isipokuwa asilimia 1 ya wale walioshika uchumi wa dunia..
-Haiwezekani kwa sababu dunia ina matatizo mengi sana yatokanayo na papermoney kuthaminishwa lakini ndio inatupa raha zote za matamanio ya binadamu. Dhahabu ni sawa na biblia na Ulokole, ni wangapi wataacha kufuata maswala ya dunia wakachukua ya Mungu ikiwa tunatawaliwa na matamanio ya kidunia..
-Ukweli wa kutowezekana umesimama hapo mkuu wangu..

Kumbe haiwezekani kwasababu tu fulani hataki..

Sasa ya nini kudanganya watu kwamba kuna policy ABC itasaidia kupandisha thamani ya shillingi??

Afadhali watu waambie ukweli kwamba thamani ya shillingi haijawahi kushuka toka tu-print first shilling na haitapanda mpaka uchumi wa dunia ufikie total collapse..
 
Fedha hupanda na kushuka thamani, dhahabu nayo vile viler....it's possible.
 
Kumbe haiwezekani kwasababu tu fulani hataki..

Sasa ya nini kudanganya watu kwamba kuna policy ABC itasaidia kupandisha thamani ya shillingi??

Afadhali watu waambie ukweli kwamba thamani ya shillingi haijawahi kushuka toka tu-print first shilling na haitapanda mpaka uchumi wa dunia ufikie total collapse..
Nilijua hukunielewa mwanzani lakini sikuwa napinga hoja yako..
Tunaishi dunia ya Uongo na matamanio na ndio maana watu wameshtuka - NGUVU YA UMMA inachukua mkondo wake, wananchi wanataka mabadiliko na sasa hivi wallstreet inavamiwa, chumi zote duniani hatarini kwa sababu ya Paper money kukidhi matamanio ya being human, badala ya kuthamini UTU wa kuwa human being!
 
Nilijua hukunielewa mwanzani lakini sikuwa napinga hoja yako..
Tunaishi dunia ya Uongo na matamanio na ndio maana watu wameshtuka - NGUVU YA UMMA inachukua mkondo wake, wananchi wanataka mabadiliko na sasa hivi wallstreet inavamiwa, chumi zote duniani hatarini kwa sababu ya Paper money kukidhi matamanio ya being human, badala ya kuthamini UTU wa kuwa human being!

Noted and thanks
 
It is an issue of fiscal policy and not monetary policy. Minister Mkulo should raise tariffs on imports e.g. shangingis; toilet paper; food items etc which we are currently importing. Other measures could include high licence fees for all luxury cars, castle tax for all residential buildings of above say 400 square metres built area. Further government should curb all unnecessary expenditure e.g. poshos; seminars and workshops, foreign trips etc. All these measures will reduce current account deficit as well as restore a balance in the government budget which is now heavily relying on borrowing[printing money] from the banking sector.

I have been rather saddened by reading contributions from some JF members on this very serious subject, who seem to take it lightly. Of course some members are not very clear in their minds what policies should be adopted (even mixing up "Policy" with "polisi"!!!). Shame on these.

The information I have is that BoT, in spite of the ridiculously low rate of royalty (murahaba) charged on gold, i.e. 3%, has accumulated foreign reserves of more than US $ 2 billion. This is a historic high level and it is much more than what the regulation requires i.e. 3 months of imports. In other words Tanzania through the BoT is investing abroad this huge amount of money, whist her leaders are roaming all over the world asking for loans and grants to carry out development of infrastructure and social services.

If the BoT was to intervene and release some of its hoards to prevent the TSh from sinking below a given level, then we would not have our currency at this pathetic level of depreciation. Readers will note that I do not agree with those who think that Monetary Policy should not be used to bolster the TSh. The Governor's major responsibility is to protect the strength of the TSh.

As for Hon. Mkullo, I would advise that he lowers or scrap VAT on sales of all inputs for agricultural production like fertilizers. packaging materials like sisal bags in order to boost production: not only of foodstuffs, but also for export. This is where Fiscal Policy comes in. Consideration could be given to the raising of import duty on imported foodstuffs like Mchele and sukari to give local producers encouragement BUT care has to be excersized so that low income earners are not hurt too much. Indeed it may be more prudent to boost low income earners by subsidizing inputs, supplying cheap tractors and concentrating on improved access to rural areas.

Imports of essentials like petroleum products should not be restrained when the Central Bank is awash with foreing currency. Government deficits spending mean the BoT is printing money and injecting it into the economy, and it results in prices rising, hurting those who have to sweat in orger to eanm thei keep. Similarly, even those public servants who steal or squander goverment money, inject money into the economy and cause escalation of prices for those poor who must sweat in order to earn a living. The fight against mafisadi has therefore to be joined by Mkullo and governor Ndulu if their policies are to bear the intended results.
 
Unajua sasa hivi fedha yetu (zote duniani) inflation inapanda continously??

Unlike gold
Yeah, but that doesn't mean the situation is gon be the same 30 yrs to come.

Unlike silver too!
 
Shillingi ipi ambayo anataka ku-istabilize wakati wao wanaihujumu kwa kuruhusu dollar kutumika ndani ya Tanzania? Hata nchi zilizoendelea kama UK hawaruhusu utumiaji wa Dollar au currency nyingine ndani ya UK. Yeye ni porojo tu anawasaidia akina Fisadi papa kujitajirisha kwa mgongo wa Watanzania. Kama kweli wana nia ya kweli kuinyanyua shillingi wapige marufuku mara moja matunizi ya dollar ndani ya Tanzania.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
I have been rather saddened by reading contributions from some JF members on this very serious subject, who seem to take it lightly. Of course some members are not very clear in their minds what policies should be adopted (even mixing up "Policy" with "polisi"!!!).

The information I have is that BoT, in spite of the ridiculously low rate of royalty (murahaba) charged on gold, i.e. 3%, has accumulated foreign reserves of more than US $ 2 billion. This is a historic level and it is much more than what the regulation requires i.e. 3 months of imports. In other words Tanzania through the BoT is investing abroad this huge amount of money, whist her leaders are roaming all over the world asking for loans and grants to carry out development of infrastructure and social services.

If the BoT was to intervene and release some of its hoards to prevent the TSh from sinking below a given level, then we would not have our currency at this pathetic level of depreciation. Readers will note that I do not agree with those who think that Monetary Policy should not be used to bolster the TSh.

As for Hon. Mkullo, I would advise that he lowers or scrap VAT on sales of all inputs for agricultural production like fertilizers. packaging materials like sisal bags in order to boost production not only of foodstuffs, but also for export. This is where Fiscal Policy comes in. Consideration could be given to the raising of import duty on imported foodstuffs like Mchele and sukari to give local producers encouragement BUT care has to be excersized so that low income earners are not hurt too much.

Imports of essentials like petroleum products should not be restrained when the Central Bank is awash with foreing currency. Government deficits spending mean the BoT is printing money and injecting it into the economy, and it results in prices rising, hurting those who have to sweat in orger to eanm thei keep. Similarly, even those public servants who steal or squander goverment money, inject money into the economy and cause escalation of prices for those poor who must sweat in order to earn a living. The fight against mafisadi has therefore to be joined by Mkullo and governor Ndulu if their policies are to bear the intended results.
Our problem lies within ourselves.. no policies can or will rescue the sinking Tsh as long as we keep on feeding our habit! - In swahili we say - Unene wa mtu sio Afya! and never was/will/might be.
Take an example:-
- How many bank branches are out there compared to population of 40+ million, how long does it take one to open an account, deposit or withdraw money. - and WHY?
- How many bank accounts are active today if not less than one percent, when most payments if not all are cash transaction - and WHY?
- How many transactions go through our banks and financial institutions to determine the actual amount of money in circulation! - and WHY?
- Why is it USd is the main exchange currency within the country..
- Why do we import more products for consumption rather than investing in development projects.
- Name few infrastructure and social services as the product of loan and grant we have received!.
 
I

The information I have is that BoT, in spite of the ridiculously low rate of royalty (murahaba) charged on gold, i.e. 3%, has accumulated foreign reserves of more than US $ 2 billion. This is a historic high level and it is much more than what the regulation requires i.e. 3 months of imports. In other words Tanzania through the BoT is investing abroad this huge amount of money, whist her leaders are roaming all over the world asking for loans and grants to carry out development of infrastructure and social services.
.
2bn$... is one fifth of ouir imports bill.
 
Watafanya nini kana watu wataanza kutoa fedha zao kwenye mabenki na kuweka kwenye mitungi na chago za vitanda?
 
Uongo mingi sana ktk utawala huu...Leo ktk pitapiata yangu nimekutana na kitu hii..

Tanzania's interconnected grid system has an installed capacity of 773MW, of which 71% is hydropower. The largest hydropower complexes are the Mtera and Kidatu Dams and they are situated on the Great Ruaha River. The Mtera Dam is the most important reservoir in the power system providing over-year storage capability. It also regulates the outflows to maintain the water level for the downstream Kidatu hydropower plant. Thermal generation in Tanzania currently relies on imported Heavy Fuel Oil (HFO); Jet A (aviation) fuel and diesel.
The installed capacity of the hydropower facilities are: - the Kidatu power station, which has the capacity of 204 MW; - the Kihansi power station, which has the capacity of 180 MW; - the Mtera power station, which has the capacity 80 MW; - the Pangani power station, which has the capacity of 68 MW; - the Hale power station, which has the 21 MW; and - Nyumba ya Mungu, which has the capacity of 8 MW The total capacity of hydropower generation is 561 MW.

Na kama sikosei majuzi tu JK alizungumzia kuhusu Umeme sijui toka Uhuru tulikuwa na 60MW sijui yeye kaongeza kiasi kikubwa kuliko wakati wote wakati hakujenga chanzo wala dam moja zaidi. za Sasa maadam hydro zote zinafanya kazi chini ya kiwango chake sababu ya mvua, tunachofanya au wanchokifanya ni kufikidia MW zilizopungua wakati mahitaji yetu ya umeme yameongezeka mara dufu (about 1200MW) na hata kama Hydro power zote zitafanya kazi kwa kiwango chake bado tungekuwa na mgao nchini, huu ndio ukweli lakini lawama zote tunawashushia Tanesco wasambazaji hatutaki kuangalia the core problem!.
Utaweza vipi kutumia policies kuhakikisha mgao unapungua!
 
Hizi policy adjustments zinafanya kazi kwenye chumi zinazoeleweka! Benki hawana "clue" ni kwa kiasi gani hizo policy adjustment zinaweza kuathiri uchumi wa Tanzania ambao uko highly informal. Hapo tunachofanya ni ping pong kwa sababu hivyo ndo world bank wanavyosema.

The real elephant in the house ambaye haguswi ni Government spending! Katika nchi yetu hii, mwajiri mkubwa ni serikali by far. Kwa hiyo a lion's share ya cash circulating in the economy inatokea kwenye mikono ya serikali. Policy adjustments zinazodhibiti flow ya fedha kutokea kwenye mabenki haiwezi kuwa na impact.

Policy adjustment kubwa inatakiwa i-focus kwenye kudhibiti flow ya fedha kutoka serikalini kwenda kwenye uchumi. Vile vile inatakiwa iangalie kwenye ufanisi wa kiutendaji katika serikali na idara zake. Hivyo ilitakiwa katika huo mkutano wa benki kuu wawemo mawaziri, waziri mkuu na probably mkuu wa nchi.

Inflation manake kuna fedha nyingi zinazofukuzia bidhaa kidogo. Kudhibiti inflation ni ama uongeze uzalishaji wa bidhaa kwenye mfumo au upunguze kiwango cha fedha kinachoingia kwenye mfumo wa uchumi. Uzalishaji wa bidhaa unaweza kuhimizwa kwa kuweka policies ambazo ni pro-uzalishaji; mfano kupunguza wingi na milolongo ya kodi, kuwasaidia wakulima wa Tanzania kuzalisha more efficiently, kuwekeza zaidi kwenye sekta za uzalishaji mali badala ya utumiaji, n.k.

Kupunguza kiwango cha fedha kwenye mzunguko ni kuangalia chanzo kikubwa cha fedha zinazoingia kwenye mzunguko. Kwa Tanzania chanzo hicho ni serikali. Inflation inatuonesha kuwa serikalini watu wanalipana fedha nyingi kuliko mchango wao katika mfumo wa uchumi. Kwa hiyo serikali iangalie mianya mingi ya malipo yasiyokuwa ya lazima na yote hayo yazuiliwe. Ibadirishe mifumo na taratibu ili kuzuia malipo malipo yanayofanyika ovyo ovyo. Savings hizi zinazotokana na serikali kubana matumizi zielekezwe kwenye private sector katika mfumo wa upunguzaji wa kodi ili kuwa-motisha wafanyabiashara kuwekeza zaidi.

Inflationa Tanzania huwezi kuipunguza kwa kufanya currency manipulation. Uchumi wetu asilimia kubwa ni informal na hatuna taarifa za kutosha sera hizo zitakuwa na madhara gani kwa uchumi; tunabahatisha.

Hili swala la kutokukubali informal setting yetu ya uchumi itatu cost sana; in reality purchasing power ya citizens ni ndogo sana in agregate (na nje ya DSM money circulation nikama vile haipo) ukilinganisha na serikali yenyewe (ambaye ndiye mnunuzi mkubwa wa goods and services kwani raia % kubwa bado wako kwenye batter trade); makampuni makubwa na foreigners. Hawa wenye purchasing power kubwa wote wanapenda kutumia forex kwa manunuzi ya goods na services hata huko huko ndani sasa fikiria demand ya forex compared to madafu ikoje? Eti mtu anakuwa contracted ndani ya nchi analipwa in forex bado wanatafuta mchawi? Nje ya TZ currency yetu inatumiwa na nchi gani kwamba iongeze demand na therefore price yake?

Infact cost push inflation factor mimi naona inahusika zaidi hapo kuliko hata demand pull inflation factor ambayo hao wenzetu wameangalia kuhusu money circulation inayo fanywa na mabenki. Sasa cha ajabu ni kuwa hiyo intervention yao itaongeza interest rate kwenye mabenki na kum-hit zaidi citizen anaye ishi kwa mikopo ya SACCOS ambaye kiuhakika impact yake in comparisons na foreigner anayesababisha inflation hasa kutokana na wages zao zinazolipwa in forex lakini zinatoka kwenye production sectors zetu na importation ya goods wanazo consume plus capital flow....Well macro economics theory siyo field yangu lakini nakumbuka kwa mbali some of this things.
 
Unajua mimi nafikiri tuwe wa kweli kwamba watu wame-crem keynesian model of money supply and demand ambayo kwa watu kama sisi tunaopenda kujua kitu kwa kuangalia "the opposite" hizo theory ni hoax wala shillingi haitapanda hata siku moja...

Tuungalie mambo kwa mtazamo huu ..Ebu niambie tangu mwaka 1961 (uhuru) hadi leo kuna siku shillingi imekuwa na thamani kupita mwaka uliopita? simply sema hivi (au fikiri hivi) ...shillingi ya mwaka jana itakuwa na thamani kupita ya mwaka huu nakuendlea hadi kufa period!

Uchumi unaoendeshwa na paper money (money without intrinsic value) itaendelea kushuka hadi i-burst (total collapse of the system)..

Siyo Tanzania tu hadi US mambo ndio hivyo a yesterday dollar is more valuable than tommorrow dollar why? kwasababu watu wanasupply paper money (without intrinsic value) ili wapate zaidi through interest

Solution: go back to GOLD money as mode of exchange (inflation problem solved) kwasababu gold has intrinsic value on it.

Topical,

Shillingi itaokolewa ikiwa hawa jamaa wako serious na fiscal policy. Gavana nadhani hana washauri wazuri kwani anakubali kusacrifice shillingi against inflation. Measures anazotaka kuzichukua zitafanya shillingi ianguke zaidi kwani wakiongeza interest on loans, benki za biashara zitaongeza riba ya mikopo na matokeo yake mikopo itakuwa migumu kulipika na baadhi ya biashara kufa. Wamarekani wenyewe na Waingereza wamekubali kuacha inflation iendelee na wao wanajitahidi kufocus zaidi kwenye growth ndio maana mpaka interest on loan marekani bado 0.25% wakati UK ni 0.5%. Isitoshe wao wanazidi kuingiza pesa katika mzunguko ili kuencourage growth.

Tanzania yetu shillingi itaokolewa tukiweza kudhibiti matumizi ya dollar na foreign currencies zenginezo nchini. Hili tatizo kubwa ambalo viongozi wetu hawataki kuligusa either pengine nao wanafaidika nalo au la. Demand for dollar needs to be regulated and monitored vyenginevyo shillingi itaendelea kuporomoka zaidi. Pia ni muhimu kwa ukuaji wa uchumi ukaendelea kuwepo ili kusaidia kutoa ajira kwa vijana. Hivyo BOT inatakiwa ipunguze interest on loans badala ya kuongeza interest loans.

Gold standard kama medium of exchange ni ngumu mkuu Topical kwasababu ya mabadiliko ya mara kwa mara in a commodity market. Gold and Silver bei zake zinategemeana sana mazingira ya uchumi duniani. They are not stable currencies na kutokana na hivyo some economies kama UK and US, Belgium France suffered alot from these sudden changes in the value of gold miaka ya 1900 na 1800. Kiufupi , gold bei yake haina muamana au kwa jina jengine haiko stable na matokeo yake kunaweza kupelekea uchumi wa kuwa hatarini.

Gold wazikusanye BOT for selling them to boost currency value au wazikusanye for trading mfano kipindi hichi dhahabu is high in value. Kutumika kama medium of exchange ni hatari mkuu kwani uchumi wa nchi unaweza kusinyaa kabisa kwani dhahabu unaweza kuamka kesho ikawa imepungua thamani kwa kiwango kikubwa na matokeo yake uchumi ukaanguka. Wakusanye dhahabu from wachimbaji wadogo wadogo na kuziuza whenever market prices rises.
 
Back
Top Bottom