wakati diamondplatinumz anapambana kuwa mkubwa mlisema hivihivi. Mwisho akawa mkubwa Leo mnamkubali. Diamond mwenywe anajua dogo kondeboy ni fundi ndo maana akamchukua. Ndo maana imemuuma mpaka kampiga million mia8. Kuhusu mashabiki ndo sisi ...ukiangalia followers wa burnaboy na davido utajua nguvu ya album ikiwa na hits song. Leo BuRnaboy ndo african giant wakati anafollowers mill5 tu wakati davido followers million15Kwa mashabiki gani alionao huyo dogo? Acheni kumkuza kupita kiasi bana
Sent from my iPhone using JamiiForums
Utakuwa mmakonde mwenzake weweKondeboy juzi kafanya booking o2 arena. Sababu ni AFROEAST album. Humo ndani kuna nyimbo kwangaru ambao ndo wimbo mkubwa kuwah kutokea tz haufikiii. Yaani kuna hits songs hataree. Ikitoka hii headlines za dunia zitamuongelea kama BURNABOY.
sawa Hana mashabiki ila hauwezi mlinganisha na takataka rayvanKwa mashabiki gani alionao huyo dogo? Acheni kumkuza kupita kiasi bana
Sent from my iPhone using JamiiForums
hiyo albam ina jumla ya nyimbo ngapi?Kondeboy juzi kafanya booking o2 arena. Sababu ni AFROEAST album. Humo ndani kuna nyimbo kwangaru ambao ndo wimbo mkubwa kuwah kutokea tz haufikiii. Yaani kuna hits songs hataree. Ikitoka hii headlines za dunia zitamuongelea kama BURNABOY.
Kwangaru ilibaniwa promo.... Ile ngoma ilijiprome yenyewe...hata video ilibaniwa, ilipewa video flani ya kawaida sanaaaa. Lakini ndo ngoma ya msanii Wa kitanzania yenye views Wengi kwa muda mfupi bila maroboti. Yope remix siyo ya mtanzania,,,NANA ni ya zamanikwangwaru yenyew imehit bongo tu na east africa ndo utuambie wimbo mkubwa akat tetema dunia nzima we ni punga toka umakondeni
Kwangaru ilibaniwa promo.... Ile ngoma ilijiprome yenyewe...hata video ilibaniwa, ilipewa video flani ya kawaida sanaaaa. Lakini ndo ngoma ya msanii Wa kitanzania yenye views Wengi kwa muda mfupi bila maroboti. Yope remix siyo ya mtanzania,,,NANA ni ya zamani
Kaka vipi si wengine hatukuwepo hapo O2 Arena,vipi ilikuwaje kama una picha tupostie.Kondeboy juzi kafanya booking o2 arena. Sababu ni AFROEAST album. Humo ndani kuna nyimbo kwangaru ambao ndo wimbo mkubwa kuwah kutokea tz haufikiii. Yaani kuna hits songs hataree. Ikitoka hii headlines za dunia zitamuongelea kama BURNABOY.
AiseeKaka vipi si wengine hatukuwepo hapo O2 Arena,vipi ilikuwaje kama una picha tupostie.
Shikamoo JF ukijitoa ufahamu kuna siku itakuumbua.