MKuu Samahanini sana kwa kutokuwa hewani kwa mwezi sasa,Huku China tupo kama lupango,kuna sheria yao wameianzisha kuwa Website zote lasima ziwe zimesajiliwa na kutofanya hivyo ni faini kuwa mno,sasa kila provider anachachawa hususan kwa website za nje kwani wanaogopa mno,na kupata hiyo ICP kuna ka taratibu ambacho kwa foreigner ni tabu kidogo,Nina uhakika mwanzo wa wiki hii tutarudi kundini.
Pia tupo kwenye makamilisho ya kitu kingine ambacho nina uhakika kitakuwa na manufaa makubwa zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.