Afrika yapokea msaada wa Testkits 1.1 Mil za Corona Kutoka Ali baba: Na sisi tuwahi hii fursa

matunduizi

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
6,541
15,181
1584966997150.png

1584967091463.png



Ni vizuri Kushtuana wakuu.
Kuna Lab testkit na vifaa mbalimbali vya matibabu 1.1 Mil kutoka kwa kampuni hiyo.
Kama vimetumwa afrika basi na sisi tuvifukuzie huko mapema.





 
Yaani umaskini ni mbaya
Hivi kweli tunaomba kila kitu
Roho yangu inauma waafrika tunalaana gani??
Hill jini la kuombaomba nani katurushia??
Kwanini hii misaada wasiwapelekee Italy huko??
 
Back
Top Bottom