Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,713
- 45,095
Nafikiri ni Mobutu Sesseseko wa Zabanga.
ila ramli ndio halal?Historia si utabiri, utabiri ni haram katika Uislam.
Huyu ni rais wa Gabon.. alienda kutibiwa nje kurudi akakuta wazee wapo ikuluHuyu wa wapi na ilikuwaje?
Aiseee, wewe jamaa ni kauzu sijapata ona.Tz tunahitaji tumpate na sisi Lee Harvey Oswald wetu ili tunusurike na dhahama ya Stoney Tangawizi
Milton Obote alipinduliwa na Marehemu Nduli Iddi Amini wakati Obote akiwa Kwenye mkutano wa Jumuiya ya Madola huko Malaysia.Milton Obote nafahamu alipinduliwa na Iddi Amin akahamia Tanzania akiwa mzima.
Rawlings sina matukio yake.
Kuna mdau hapo juu kasema lee harvey oswald na kundi lake walishamfata stone mpaka white house ila wakamkosaTz tunahitaji tumpate na sisi Lee Harvey Oswald wetu ili tunusurike na dhahama ya Stoney Tangawizi
Afrika miaka ya 60, 70, 80 na 90 mwanzoni kupindua serikali ilikuwa na kama fashion. Chanzo kikubwa cha mapinduzi ilikuwa ni uroho wa madaraka uliokolezwa na vita baridi kati ya USA na Soviet Union. Wengi wa waliokuwa wanapindua walikuwa wanatoa sababu kuwa watawala wameshindwa kuwaletea maendeleo wananchi kama walivyoahidi lakini hata walipokuwa wanapindua serikali zilizo madarakani wale walioingia walikuwa wanafanya vibaya kuliko hata waliopinduliwa. Hiki kilikuwa ni kipindi cha mpito kikichangiwa na vita baridi kati ya Urusi na washirika wake na Marekani na washirika wake. Baada ya vita baridi matukio ya kupindua nchi yalipungua kwa kiasi kikubwa na mpaka muda huu tulionao ni nadra sana kusikia nchi zinapinduliwa.Nnalikumbuka tukio moja alikuwa Tanzania na akafanikiwa kurudi (kurudishwa) madarakani.
Sababu ni nini?
Umelewa?shida sio utabiri kwenye uzi shida ni wewe kijifanya kujua wakati unatoa habari kwingine na kujifanya zako....acha upuuzi bibi!!
Tumeona hivi karibuni "mapinduzi" kwa style mpya. Kama vile Libya,Afrika miaka ya 60, 70, 80 na 90 mwanzoni kupindua serikali ilikuwa na kama fashion. Chanzo kikubwa cha mapinduzi ilikuwa ni uroho wa madaraka uliokolezwa na vita baridi kati ya USA na Soviet Union. Wengi wa waliokuwa wanapindua walikuwa wanatoa sababu kuwa watawala wameshindwa kuwaletea maendeleo wananchi kama walivyoahidi lakini hata walipokuwa wanapindua serikali zilizo madarakani wale walioingia walikuwa wanafanya vibaya kuliko hata waliopinduliwa. Hiki kilikuwa ni kipindi cha mpito kikichangiwa na vita baridi kati ya Urusi na washirika wake na Marekani na washirika wake. Baada ya vita baridi matukio ya kupindua nchi yalipungua kwa kiasi kikubwa na mpaka muda huu tulionao ni nadra sana kusikia nchi zinapinduliwa.
Na wewe toa umbumbumbu,walinzi hawana uwezo wa kuzuia mapinduzi bali idara ya usalama wa taifa.Rais Nyerere alikoswakoswa kupinduliwa nadhani zaidi ya mara 8.
Nadhani huyu ndie anaongoza kwa kukoswa koswa kupinduliwa lakini pia hii inaonyesha jinsi ambavyo walinzi wake walikuwa na uwezo kwa kuzuia mapinduzi mara 8.
Kukoswakoswa mara 8 halafu mpaka ukaamua ''kung'atuka'' baada ya miaka zaidi ya 20 ni kipimo kikubwa cha uwezo wa walinzi wake.
Kuna Marais wengine jaribio la kwanza tu huwaondoa madarakani au kuwaua lakini Rais Nyerere aliweza kuhimili majaribio hayo.
Mimi ni mkristo, sijui Kwanini marais waislamu wanakuwa wazuri na wakristo wanakuwa makatili SanaOoh, hilo sijawahi kusikia, Mwinyi huyu kipenzi cha Watanzania Mzee ruksa? Au?
Tujulishe tafadhali.
Mimi ni mkristo, sijui Kwanini marais waislamu wanakuwa wazuri na wakristo wanakuwa makatili Sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo ya yeye kupindua nafahamu. Ulipomtaja juu nilifikiri unaongelea kupinduliwa yeye au kukoswakoswa kuuliwa.Mwaka 1979 Luteni Jerry Rawlings akiwa Luteni kwenye Jeshi la Anga la Ghana Alipindua Serikali ya Kijeshi iliyokuwa imeshikwa na Luteni Generali Fred Okufo.
Baada ya Kufanikisha Luteni Rawlings akaikabidhi serikali hiyo kwa Utawala wa Raia na uchaguzi ukafanyika
Luteni Rawlings akarudi Kambini katikati ya Miaka ya 80 Rawlings tena akaipindua Serikali ya Kiraia na jeshi likashika Mamlaka mpaka miaka ya 90 ambapo alistaafu jeshi na kufungua chama cha Siasa na Kushinda uchaguzi wa uraisi.
[QUOTEHayo ya yeye kupindua nafahamu. Ulipomtaja juu nilifikiri unaongelea kupinduliwa yeye au kukoswakoswa kuuliwa.
NinalikumbukaNnalikumbuka tukio moja alikuwa Tanzania na akafanikiwa kurudi (kurudishwa) madarakani.
Sababu ni nini?