Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,445
Mwinyi,huyu ni kutokana na kuongozwa na mkewe kwenye mambo ya kitaifa!
Baada ya kustafu,alilambwa kibao kimoja mujarabu baada ya kwenda kuhubiri kondomu msikitini!
Hahahaha mkuu YOU MAKE MY DAY